Saturday, August 22, 2009

Hammer Q arudi kundini

MTUNZI na mwimbaji wa nyimbo za taarab, Hammer Q amerudi kwenye kundi la Dar es Salaam Modern Taarab.
Kijana huyo ametamba kwamba amerudi na kasi mpya na nguvu mpya hivyo 'watoto wadogo' wakae pembeni.
Wimbo maarufu wa Pembe la Ng'ombe ndiyo 'ulimtoa' kijana huyo na kumpa umaarufu mkubwa.
Miongoni mwa maneno yenye mvuto kwenye wimbo huo ni ' Zege ukishalikoroga halirudi tena sementi', 'Nyama ikishafika buchani hairudi kuwa Ng'ombe', Kwani wao wameweza wana nini na sisi tushindwe tuna nini'.
Leo asubuhi amesema, atatoka na nyimbo tatu kwa mpigo, miongoni mwa hizo unaitwa Tufuatane kama Bata.

Mtangazaji afananishwa na Amina Chifupa

MTANGAZAJI wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Mariam Migomba, anafananishwa na aliyekuwa mtangazaji wa redio Clouds FM, Amina Chifupa Mpakanjia.

Mtunzi na mwimbaji wa nyimbo za mahadhi ya taarab, Hammer Q amesema leo kuwa, watu katika maeneo mbalimbali ndani na nje ya Tanzania wanamfananisha kipaji na Mariam na kile cha Amina.

Amesema, amekwenda sehemu mbalimbali Tanzania hususani kanda ya ziwa, na nchi jirani, wakazi wa huko ‘wanamkubali’ Mariam na kumfananisha na Chifupa.

Amina alikuwa mtangazaji na baadaye akawa Mbunge wa Viti Maalum katika Bunge la Tanzania hadi alipoaga dunia.

Mariam a.k.a mama wa Kashda, a.k.a Mama Originali ameshukuru kufananishwa na Amina na kuahidi kuendelea ‘kukamua’ kisawa sawa.

Ameyasema hayo leo asubuhi jijini Dar es Salaam wakati anazungumza na Hammer Q katia kipindi cha Muziki wa Mwambao kinachorushwa na kituo cha televisheni cha TBC1 cha Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC).

Migomba ametamba kwamba ana vipande vya maneno sivipande vya mihogo, na ana vipande vya maneno na si vipande vya kashata.

Friday, August 21, 2009

Hapo je?


MKE wa mwanasoka maarufu, David Beckham, Victoria.

Uroda juu ya meza ya bwana

WANAIJERIA wawili, mtu na mkewe, ambao walikuwa na nia ya kuyaamsha mapenzi yaliyopooza katika ndoa yao na kuamua kufanya mapenzi ndani ya kanisa juu ya 'meza ya bwana' wameambulia kupigwa faini na mahakama.

Tolu Akintepe, 30, na mke wake Bunmi, 28, walipandishwa kizimbani baada ya kukamatwa wakifanya mapenzi juu ya madhabahu au maarufu kama 'Meza ya bwana' (meza inayokuwa mbele kabisa kanisani).

Kwa mujibu wa gazeti la Daily Metro, wanandoa hao wakati wakipeana raha juu ya meza ya bwana walifumaniwa na mchungaji wa kanisa hilo dogo la Pentekoste lililopo katika kitongoji cha Ikeja jijini Lagos.

Mchungaji Gbenga Akhiomu aliwataka wanandoa hao walipe fidia ya dola 170 ( takribani Tsh. 225,000) kwa kuivunjia heshima madhabahu.
Mchungaji huyo pia aliwataka wanandoa hao waisafishe madhabahu na kisha wasali kuomba msamaha.

Katika hali iliyowaacha watu wengi mahakamani wakibaki na kicheko, wanandoa hao walimwambia jaji Ifeanyinwa Okenwa kwamba walifanya kitendo hicho ili kuongeza viungo vya kuamsha mapenzi yao ambayo yalikuwa yameanza kufifia baada ya ndoa yao ya miaka minne.

"Mke wangu amekuwa akiniambia mara kwa mara kwamba anataka tuyakuze mapenzi yetu kwa kufanya kitu kisicho cha kawaida" alisema Akintepe.

"Nilifikiria kuwa litakuwa wazo zuri kama tutafanya mapenzi kanisani huku Mungu akituangalia. Nilijua ni wazo linalohitaji ujasiri. Nilimwambia mke wangu naye akalipenda sana".

Jaji Okenwa aliwaonya wanandoa hao waheshimu taasisi za dini na aliwaamuru walipe faini ya dola 170.
Wanandoa hao waliridhika na hukumu hiyo na walijitolea kulisafisha kanisa zima kwa muda wa wiki moja

Ni mwanaume au mwanamke?








ANA umriwa miaka 18, jina la kike lakini hulka na tabia za kiume.
Wazazi wa Caster Semenya, bibi yake na ndugu zake wanaamini kuwa Semenya ni mwanamke lakini wengi wanamtilia mashaka.
Mama yake mzazi, Dorcus Semenya anaamini kuwa binti yake ni mwanamke na hakuna anayeweza kubadili hilo.

Mmoja waliowahi kuwa walimu wake wakuu, Eric Mobida amesema, aligundua kuwa Semenya ni mwanamke wakati 'msichana' huyo alipokuwa na umri wa miaka 15!

Kwa mujibu wa Mobida, Semenya alikuwa mtundu, alipenda kucheza na wavulana na alipenda pia kucheza soka.

Bibi wa mwanariadha huyo, Maphuthi Sekgala, amesema, mjukuu wake anapenda namna alivyo na alikuwa ni 'msichana' pekee kwenye timu ya mpira wa miguu ya kijijini walipokuwa wanaishi.
Baba mzazi wa mwanariadha huyo, Jacob Semenya amesema, hajawahi kutilia shaka jinsi ya mwanae, Caster ni mwanamke, na anaweza kurudia kauli hiyo mara milioni na milioni.
Semenya ni mshindi wa medali ya dhahabu mbio za mita 800 katika michuano ya riadha ya dunia inayoendelea Berlin nchini Ujerumani.
Endapo itagundulika si mwanamke atanyang'anywa.
Soma hapo chini

The governing body of world athletics, the IAAF, has asked South Africa to test their star 18-year-old's gender after her muscular physique and extraordinary performances sparked speculation over whether she is really female.


But her proud mother Dorcus Semenya declared: 'I know who and what my child is. Caster is all girl, and no one can change that.'


Speaking from her home in the rural village of Seshego in South Africa's Limpopo province, the mother-of-six added:
'If you ask any of my neighbours, they would tell you that Caster is a girl.'

However, Caster's former headmaster, Eric Mobida, said she was about 15 before he realised she was a girl.

'She was always rough and played with the boys,' he said. 'She liked soccer and she wore pants to school, never a dress. It was only in grade 11 that I realised she's a girl.'


Caster's grandmother, Maphuthi Sekgala, said the athlete had been teased about her masculine appearance since the day she joined the village soccer team as the only girl.

Mrs Sekgala, 80, said: 'I know she's a woman. I raised her myself.'
Champion: Semenya has been given with her gold medal but it could be taken away if gender tests reveal she is a man - promoting Kenya's Janeth Jepkosgei Busienei to gold and Britain's Jenny Meadows to silver.

Caster's father pleaded for people to leave his daughter alone. Jacob Semenya said:
'She is my little girl. I have never doubted her gender. She is a woman, and I can repeat that a million times.'

He said he was positive the results of the IAAF gender tests would show she was a true female running hero.

Semenya's sister Nkele, 16, also defended her legitimacy as a female and said: 'People must stop calling her a man because we are proud of her.'

The ruling African National Congress called on South Africans to rally behind their 'golden girl' role model, saying:

'We condemn the motives of those who have made it their business to question her gender due to her physique and running style.

Thursday, August 20, 2009

Oprah anatafuta penzi jipya?

Oprah Winfrey

Mwanamuziki Jay Z

Jay Z na mkewe, Beyonce
KUNA taarifa zinazodai kuwa mtangazaji maarufu wa vipindi vya televisheni,Oprah Winfrey, yupo kwenye mchakato wa kutafuta mpenzi mpya a.k.a king'asti.
Mwanamke huyo tajiri ameachana na mpenzi wake wa muda mrefu, Stedman Graham.
Oprah na Stedman wamekuwa 'wakirushana roho' tangu mwaka 1986.
Hivi karibuni Oprah alikaririwa akisema kuwa mwanamuziki Jay Z ni rafiki yake kipenzi, na ametoa pia kauli zinazoonyesha kwamba ANAMZIMIA mwanaume huyo.
Jay Z ni mume wa Beyonce.
Soma hayo chini

Jay-Z is my new best friend. He was so charming and delightful -- and he smelled so good.


It's the kind of thing where you hug a guy and the scent is sort of buried in them. When we went to the second location I could still smell him on me.


It was like, 'Oh my, this is wonderful!' Oprah and Stedmann last fall.


Oprah is reportedly on the lookout for a new man after splitting from her long-term partner Stedman Graham.


According to the National Enquirer, Stedman told the media mogul he was "tired of being disrespected"


before moving out of their lavish 5,000 square foot Chicago apartment after Oprah went on a two-week luxury cruise with close friend Gayle King, leaving him home alone.


Oprah and Stedman had been dating since 1986. They had planned to marry in 1992, but the proposed nuptials never took place.

Wanafunzi ruksa kutumia past papers

BARAZA la Mitihani la Tanzania(NECTA) limewaruhusu walimu na wanafunzi watumie karatasi za mitihani iliyopita kwa matumizi ya kielimu na si biashara.

Hivi karibuni, baraza hilo lilisema litamchukulia hatua kali za kisheria mtu yeyote atakayebainika kuchapisha au kuuza karatasi hizo bila idhini yake.

“Baraza linapenda kuufahamisha umma kwamba karatasi hizo zinaweza kutumiwa na walimu au wanafunzi kwa matumizi ya ki-elimu na si biashara,” Necta imesema katika tangazo alilotoa Katibu Mtendaji wa baraza hilo, Dk Joyce Ndalichako.

Mwanamke asimulia raha ya kuwa nyumba ndogo


UNAWEZA kushangaa lakini hicho ndicho alichokisema mwanamke aliyewahi kuwa askari,aliyafanya hayo na wanaume askari wenzake waliomzidi umri.
Kaeleza namna alivyopenda kuwa na uhusiano wa kimapenzi na wanaume waliooa.
Ni ushuhuda wa aina yake, kaeleza si tu namna alivyowapata, bali pia alivyojisikia kuwa na wanaume hao wanne waliooa.
Kaeleza sababu za yeye kupenda kuwa nyumba ndogo, faida za kuwa nyumba ndogo, na kwa nini hakupenda kuwa na wanaume 'single', aliogopa KUUMIZWA!
Aliwahi kutendwa, "aliiba' wanaume za wenzake kulipa kisasi.
Hakujisikia vibaya kula uroda na wanaume hao, hakujali hisia za wanawake wenzake, na aliona kwamba makosa yao yalisababisha wanaume hao watake kuwa naye.
Alitaka pia kupata hisia za kuona kuna mwanaume anayemjali, na kitendo cha kuwa na wanaume hao kilisababisha ajione mshindi.
Soma ushuhuda huo hapo chini.
Single women are four times more likely to find a married man attractive than someone who is unattached, according to a survey.

The fact he already has a mate adds to his ‘desirability’ factor.

Alice Waddington did not blink an eye when she discovered Mark was already married with two young children - she found him even more attractive - just as she had with the three married men she'd had
affairs with previously.

Here Alice, 39, confesses all...

Just before joining the Army, I had had my first serious relationship - but unbeknown to me, he was engaged to another girl all the time we were dating.
He was 23 to my 18, and we met when he came to my
parents' house to sell them insurance.

We had what I thought was a normal relationship until I went off to join the Army and a friend sent me a picture of his wedding from the local newspaper.

When I left, he'd told me he was going on holiday: he was actually going on his honeymoon.

To say I was devastated would be an understatement.
I was bitterly hurt, and I'm sure there was an element of revenge in my future relationships with married men.
This woman had stolen 'my' boyfriend.

So when Tom started hanging around my office, flirting with me while I took phone calls and typed up letters, I felt a secret thrill.
So what if he has married?

He lived with his wife in the barracks, but it was the easiest thing in the world to sneak off together to have a drink, or go back to my room.

We'd pass each other on the parade ground and make eye contact. It was so exciting knowing that we had our 'secret'.

But then, after a few months of our illicit encounters, he broke it off. He said he couldn't do this to his wife. I was mortified.
I didn't want him full-time; but I didn't want her to have him either.

A year later, I was in the Women's Royal Army Corps and was sent on a training course.

Almost on the first day, I spotted my next married man among all the other soldiers.

He had lovely eyes, was tall and well-built, with short dark hair. He marched past me, and our eyes met.

A frisson ran through me again. I later found out he was 23 and married with a one-year-old child.
I sometimes think I am physically drawn to married men.

Men my age who are unattached, I felt, would let me down and hurt me, and I couldn't trust them.

I know this is a perverted kind of logic, but I felt safer with a married man.

The new survey, reported last week in the Journal of Experimental Social Psychology, said single women in the study were significantly more interested in the man when he was attached.

This may be because an attached man has demonstrated his ability to commit and in some ways his qualities have already been ' prescreened' by another woman.

That was definitely true of me.I also loved the sense of achievement when a married man fell for me.

I think it was also a form of attention-seeking.
I had had very little attention from my parents when I was growing up, being the only girl among three boys, and when a married man gave me a lot of attention that somehow validated me as a person. I had 'won'.

I never thought about the wife's feelings - I just blanked her out. I thought it was her fault that her man was straying.
I know this sounds awful, but that was how I justified my actions to myself.

Wednesday, August 19, 2009

Sikupendi kivipi?

HIYO picha ni ya wanandoa, Frank na Anita, hivi karibuni walifanya kumbukumbu ya miaka 81 ya ndoa yao.
Wazee hao walioana mwaka 1928
Kwa mujibu wa maelezo yao, yaani wanapendana utadhani wameanza uhusiano leo, kila mmoja anapenda kuwa na mwenzake popote anapokwenda na akimkosa hujiona kama kapungukiwa kitu fulani.
Kuna mdau kanitumia hii, isome inaweza kukusaidia
Umependeza!“Unajua siku hizi hunipendi” mwanamke ambaye ameishi na mume wake kwa miaka 6 alimlalamikia mume wake.

"Hivi unaongea kitu gani na wewe, kwa nini unasema hivyo hivyo?"

Mume naye alimjibu mke wake kwa kushangaa kwa nini mke wake anasema hampendi!

"Ni kweli hunipendi na siku zinavyozidi naona hunipendi zaidi" mwanamke aliendelea kulalamika.
Mshauri wa ndoa akaingilia kati na kumuuliza mume "je, huwa unamwambia mke wako Nakupenda?"
Kwa majivuno mwanaume akajibu kwamba

“Anajua nampenda, kila jioni nawahi nyumbani kuwa naye, nampa pesa anazohitaji anunulie kitu chochote anataka, nimemjengea nyumba nzuri, nimemununulia gari zuri, Pia nimekubali kuja naye kwako mshauri, je unadhani hadi hapo simpendi?

Mshauri akakaza uzi bado kwamba acha hayo yote je, huwa unamwambia “Nakupenda" mke wako?”
Mume akawa anamwangalia mke wake na mke akawa anatikisa kichwa kukubaliana na maneno ya mshauri wao wa ndoa kuonesha ni kweli huwa haambiwi na mume wake “nakupenda mke wangu.

Mume akajibu akasema “hivi kuna ulazima gani kumwambia nampenda wakati vitu ninavyofanya kwa ajili yake vinaonesha nampenda?"

Hapa wanaume wengi tunaweza kuandamana kumtetea mwanaume mwenzetu kwamba huyu mwanamke ana lake na kweli hana shukuruni.
Wanawake wangapi wamefanyiwa vile yeye amefanyiwa na wapo kimya, huyu
mwanamke pamoja na mazagazaga yote mwanaume mwenzetu amejitahidi kumpa bado anaonekana hampendi.
Hata hivyo linapokuja suala kuonesha mwanamke anapendwa tunatofautiana sana na mitazamo
Mwanamke huhitaji kusikia kwa maneno (tamka) over and over mkiwa wawili au hata mbele za watu kwamba unampenda au “nakupenda”.

Pia inaonekana ni jambo la kawaida sana, mwanzo wa kupendana watu huambiana maneno mengi matamu lakini wanavyoendelea na mahusiano huanza kujisahau.

Kuna maneno zaidi ya 16 ambayo wanandoa ni muhimu sana kuyatamka kila mmoja kwa mwenzake ili kuleta affections na msisimko wa kujisikia unapendwa hasa wanawake.
Itaendelea kesho.

Tuesday, August 18, 2009

Bilionea Chelsea amsubiri mtoto wa Sita

Abramovich na mpenzi wake, Dasha.

MMILIKI wa klabu ya soka ya Chelsea ya Uingereza, Roman Abramovich(42) anasubiri mtoto wa sita.
Mpenzi wa bilionea huyo, Daria Zhukova(28) a.k.a Dasha ana mimba ya miezi sita.
Wamekuwa katika uhusiano wa kimapenzi kwa miaka mitatu, atakuwa mtoto wa kwanza kwa Dasha lakini ni wa sita kwa bosi wa Chelsea.
walikutana katika pati ya kuukaribisha mwaka 2006 iliyoandaliwa na baba wa msichana huyo, Alexander Zhukova.

Abramovich alizaa watoto watano na aliyekuwa mkewe, Irina, wameachana.

Soma hapo chini
It's hardly going to put a dent in the billionaire's finances.

But he may well be on his way to raising his very own football team as Chelsea Football Club owner Roman Abramovich is set to become a father for the SIXTH time.

The 42-year-old's stunning Russian girlfriend, fashion designer and socialite Daria Zhukova, is said to be six months pregnant with their first child.

A source said he and Daria - better known as Dasha - 28, are 'ecstatic and excited' at the prospect of becoming parents.

Abramovich and Dasha, who have been dating for three years, discovered she was pregnant following a holiday in the Caribbean.

Ecstatic: Russian billionaire Roman Abramovich and his girlfriend Dasha Zhukova are expecting their first child together, and his sixth
Roman, who already has two sons and three daughters with his ex-wife Irina, broke the new to close friends and family last month.

A source told The Daily Mirror:
'They have been dying to tell people the good news but wanted to make sure everything was OK.'

As yet, the couple do not know the sex of the baby, which, friends say, will be born in Moscow and will be brought up a Chelsea fan.

The source said: 'They are both ecstatic and excited and can't wait to raise a child together.

'Dasha is so petite it's impossible to notice she has a baby bump, even though she is six months gone.'

Roman met the daughter of Russian oligarch Alexander Zhukova at a New Year's Eve party hosted by her father in 2006.

Yasemavyo magazeti kuhusu Zombe

The Guardian = So, who killed them?

Mtanzania = MUUJIZA KESI YA ZOMBE

Watuhumiwa wote kumi wa mauaji waachiwa huru

Jaji masati asema ushahidi dhidi yao ulikuwa hafifu

Awataka polisi watafute waliowaua wafanyabiashara

Tanzania Daima = Zombe ashinda kesi

Jaji Massati awaachia washitakiwa wengine wote wanane

Asema Serikali imeshindwa kuthibitisha kesi dhidi yao

Aagiza polisi kuwasaka waliofanya mauaji hayo

Wananchi washangaa, wadai haki haijatendeka

Nishape = Hukumu ya Zombe yaduwaza

Washitakiwa wote waachiwa huru

Jaji Massati aisoma kwa saa tano

Aagiza wauaji watafutwe washitakiwe

Mawakili wa jamuhuri wasema watakata rufaa

Uhuru = Zombe huru

Jaji:Upande wa mashitaka umefeli

Asema wauaji hawajafikishwa mbele yake

Umati wapigwa na butwaa

Majira = Zombe huru

Polisi wenzake nao waachiwa, wananchi wapigwa butwaa

Waja juu wadai kukosa imani na uamuzi wa Mahakama

Jaji asema walioua hawajakamatwa, aagiza wasakwe

Mwananchi= Zombe huru

Ndugu wa marehemu wangua kilio kortini

The Citizen =Why they were set free

Evidence doesn’t link the them with crime

Killer’s absence from trial a factor

Much of testimony based on hearsay

Presence at scene of crime no proof

Monday, August 17, 2009

Bolt avunja rekodi yake



MWANARIADHA raia wa Jamaica, Usain Bolt amevunja rekodi yake ya mbio za mita 100 aliyoiweka Beijing, China wakati wa michuano ya Olympic.
Amevunja rekodi hiyo katika mashindano ya riadha ya dunia yanayoendelea Berlin nchini Ujerumani.
Inaaminika kwamba, Bolt ni mwanaume anayekimbia kwa kasi zaidi duniani hivi sasa.
Beijing alikimbia mita 100 kwa kutumia SEKUNDE 9.69, jana amekimbia umbali huo kwa kutumia SEKUNDE 9.58
Soma hapo chini

The King of the Sprints is undisputed. Usain Bolt ended the pretensions of mere mortals to his throne last night when he reduced his own world 100 metres record to rubble.

All those who wondered after last year’s sensational sprint at the Olympics how fast the Jamaican would go if he ever ran the length of a straight flat out have their answer — 9.58 seconds.

One year to the day since he awed the world in the Bird’s Nest Stadium in Beijing with a time of 9.69sec came the greatest improvement since record-keeping began 96 years ago.

Unbelievable: Bolt bettered his performance at Beijing a year ago with a run of jaw-dropping brilliance.

Not since Bob Beamon smashed the world long jump record at the Mexico Olympics of 1968 has a single performance so completely changed perceptions of human capabilities.

‘Today was perfect. This gave me a lot of energy, especially the crowd,’ said Bolt through the stadium microphone immediately after the race.

‘I won’t forget it. I got a pretty good start. I was there at 20 metres and that was it.’

Zombe na wenzake waachiwa huru

MUDA mfupi uliopita Mahakama Kuu Tanzania Kanda ya Dar es Salaam imemuachia huru aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi mkoa wa Dar es Salaam, Abdallah Zombe na wenzake wanane.
Jaji wa Mahakama ya Rufaa Tanzania, Salum Massati, amesema, Zombe na wenzake hawana hatia kwa kuwa hakuna ushahidi kuthibitisha kuwa walishiriki kuua watu wanne Januari 14 mwaka 2006 katika msitu wa Pande, Mbezi mkoani Dar es Salaam.
Jaji Massati amesema katika hukumu hiyo kwamba, upande wa mashitaka umeshindwa kuthibitisha kwamba washitakiwa hao waliua wafanyabiashara watatu wa madini wa Mahenge, Morogoro na dereva wa teksi mkazi wa Dar es Salaam.
Zombe alikuwa mshitakiwa wa kwanza katika kesi hiyo, alidai kuwa alitolewa kafara kama Yesu kwa kuwa kuna watu wanamuonea wivu.
Jaji Massati amewataka polisi wakawakamate watu waliowaua wananchi hao ili washitakiwe.
Hukumu hiyo imewashangaza watu waliokuwa mahakamani na walionekana kutoamini alichokisema Jaji huyo.
Jaji Massati amesema, upande wa mashitaka unaweza kuwasilisha pingamizi la hukumu hiyo katika kipindi cha siku 14 kuanzia leo.
Alisoma hukumu hiyo kwa takribani saa sita katika chumba namba moja katika Mahakama Kuu Tanzania, Dar es Salaam.
Kabla ya kusoma hukumu hiyo Jaji Massati alisoma muhtasari wa mashahidi 37 waliotoa ushahidi katika kesi hiyo iliyoanza mwaka 2006.

Breaking News

WASHITAKIWA wote katika kesi maarufu iliyomuhusu aliyekuwa Kaimu Mkuu wa Polisi Dar es Salaam, Abdallah zombe na wenzake wanane wameachiwa huru.
Walishitakiwa kwa kosa la kuwaua watu wanne akiwemo dereva wa teksi na wafanyabiashara watatu wa madini wa Mahenge mkoani Morogoro.
Taarifa zaidi baadaye kidogo.

Tumia blog ya maisha unufaike

MAISHA ni blog isiyobagua, tangu ilipoanzishwa Februari mwaka huu imekuwa ikithamini kiu yako ya kupata taarifa kutoka pande zote za dunia.

Ukifungua blog hii utapata taarifa kuhusu masuala tofauti zikiwemo habari zenye mvuto za Tanzania zikiwemo taarifa kuhusu watu maarufu nchini, Afrika na maeneo mengine.

Ni blog yako kwa kuwa inagusa makundi yote kwenye jamii na inazingatia maadili ya taaluma ya uandishi wa habari.

Inasimulia habari kistaarabu na hutajilaumu kutumia sehemu ya muda wako kufungua www.simulizi.blogspot.com

Kila siku mamia ya watu ndani na nje ya Tanzania wanapata habari, wanaburudika na kuelimika kupitia blog ya MAISHA.
Itumie blog hii kufikisha taarifa yoyote unayoamini kwamba jamii inastahili kuifahamu.
Nitumie picha za matukio mbalimbali kama vile harusi, kipaimara, ubatizo, Sendoff, mahafali nk ili watu wengi ndani na nje ya Tanzania wazione kupitia blog hii.

Unaweza pia kuwakumbusha wenzako maisha yako ya siku zilizopita kwa kutuma picha zako ulizopiga shuleni, nyumbani, ofisini, na hata ulipokuwa mdogo.

Tafadhali tuma na maelezo yanayozihusu picha hizo ili iwe rahisi kuwafahamu wanaoonekana hapo ni akina nani, walikuwa wapi, wanafanya nini na lini.

Unaweza kupata rafiki kupitia blog hii, sema wewe ni nani, upo wapi, taja umri wako, jinsia yako, shughuli unayofanya, sema hobbies zako, elimu yako(si lazima) eleza unahitaji rafiki wa aina gani, awe na umri gani na ueleze pia mnaweza kuwasiliana vipi, mfano kwa njia ya simu, barua au barua pepe.

Unaweza pia kuitumia blog ya MAISHA kumpata mtu ambaye hamjaonana kwa muda mrefu. Kwa mfano mtu mliyesoma pamoja shule ya msingi, sekondari au chuoni, mtu ambaye mliwahi kuishi pamoja miaka ya nyuma lakini hamjaonana kwa muda mrefu, au mtu ambaye mliwahi kufanya kazi pamoja sehemu fulani lakini kwa muda mrefu hamjawasiliana au kukutana.

Si hivyo tu ,kama unahitaji wateja wa bidhaa yote, na endapo pia unahitaji bidhaa yoyote itumie blog hii ili utimize lengo lako.

Wakati wowote wasiliana nami kwa anuani ya barua pepe bmsongo@hotmail.com, www.simulizi.blogspot.com,au kwa namba za simu 0713-761 006, +255 22 2110595, 2127491/3

Zombe kuhukumiwa leo

WATANZANIA wanasubiri kwa hamu hukumu ya kesi ya mauaji inayomkabili aliyekuwa Kaimu Kamanda wa Polisi, Dar es Salaam, Abdallah Zombe na wenzake wanane.
Hivi sasa Zombe na washitakiwa wenzake wapo Mahakama Kuu kusikiliza hatma yao.
Wanatuhumiwa kuwaua watu wanne kwa kuwapiga risasi Januari 14, 2006 katika msitu wa Pande, Mbezi, Dar es Salaam.
Endapo watapatikana na hatia wanaweza kuhukumiwa kifo.

Sunday, August 16, 2009

Wenger:Fabregas hauzwi, Arsenal haijafulia


Arsene Wenger

KOCHA wa Timu ya Arsenal ya Uingereza, Arsene Wenger amesema, 'injini' yake, Cesc Fabregas HAUZWI.

Wenger amesema,kama Barcelona wanamtaka Fabregas, yeye atamchukua Lionel Messi.

Kocha huyo mfaransa amesema Arsenal HAIJAFULIA hivyo hauzi mchezaji yeyote.

Amesema anafahamu kwamba Arsenal haipewi nafasi ya kuchukua ubingwa au kuwa katika NNE bora katika msimu wa ligi Kuu Uingereza.

Kocha huyo amesema, msimu huu utakuwa mgumu kuliko yote tangu aanze kuifundisha Arsenal miaka 13 iliyopita.

Arsenal jana iliwanyuka Everton mabao SITA kwa moja.
Soma hapo chini

ARSENE WENGER reckons he has as much chance of signing Barcelona superstar Lionel Messi as the Catalan giants have of getting Cesc Fabregas.

Wenger said: "I have made a bid for Messi and nobody speaks about it.
"They said he's £125m. It's the same.

"There is no chance we will sell Cesc.

"Do you really think we would sell our players one day before the championship starts, the basis of our team? No chance."

When Wenger was told that Fabregas has Barcelona blood in him, the Gunners manager replied:
"A man is always defined by the way he is committed to his contract and that has nothing to do with the blood he
has.


"Cesc is committed to the club. He has told me that and told that to the Press.

"We cannot master the noises coming out of Spain. It is not him who encourages the idea. We are not in a weak financial position, we don't need to sell anybody.

"He has always been very committed, this is his sixth year and what he wants is to win trophies for this club."

He said: "Maybe some of the fans on our side have the fear we will drop out of the top four. But that is guided by fear, not an objective assessment of our performances.

"Certainly it could be the most competitive race since I've been here. But at the start we race for the top one.
"The minimal target is the top four but you don't start the season thinking like that.

"At the moment, nobody looks at us as a potential fighter for the title. That should not add too much pressure on our shoulders but it can.
"There is a demand to show how good we are. We have to keep serene, focused and not put un-needed pressure on our shoulders."

Wenger has spent just £10million this summer - on Ajax centre-back Thomas Vermaelen - while City have splashed out £90m on players.

Friday, August 14, 2009

Breaking News

MADEREVA wa mabasi yanayokwenda mikoani kutoka Kituo Kikuu cha Mabasi cha Ubungo(UBT), Dar es Salaam WAMEGOMA.
Hadi saa mbili leo hakuna basi lolote lililotoka kituoni hapo kwenda mikoani.
Mamia ya abiria wapo wanasota kituoni hapo na hawana uhakika wa kusafiri leo.
Inadaiwa kwamba madereva hao wanapinga mwenzao kuhukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kuendesha basi kizembe na kusababisha ajali iliyoua na kujeruhi watu kadhaa.
Hata hivyo, kwa mujibu wa hukumu hiyo, ingawa dereva huyo kahukumiwa kifungo cha miaka 30 jela, adhabu za makosa yote zinakwenda pamoja hivyo atakaa jela miaka MITATU.

Waliochezesha upatu DECI waachiwa

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam jana iliwaachia kwa dhamana viongozi wa wawili wa Taasisi ya Development Entrepreneurship for Community Initiative (Deci) inayodaiwa jumla ya shilingi bilioni 39.27.

Washitakiwa wengine katika kesi hiyo,Jackson Mtaresi, Dominic Kigendi na Timothy Ole Loiting’inye juzi walitimiza masharti ya dhamana wakaachiwa hivyo washitakiwa wote katika kesi hiyo wameachiwa kwa dhamana.

Samwel Mtaresi na Arbogast Kipilimba juzi walirudishwa rumande kwa kushindwa kutimiza masharti ya dhamana.

Washitakiwa hao jana walitimiza masharti hayo ikiwa ni pamoja na kuwa na wadhamini wawili watakaosaini hati ya dhamana ya Sh milioni 10 kila mmoja.

Mmoja kati ya wadhamini lazima awe mkazi wa Dar es salaam na anatakiwa aipe mahakama hati zake za kusafiria.

Mahakama imewaachia kwa kuwa Mkurugenzi wa mashitaka (DPP) ametengua hati yake ya zuio la dhamana kuhusu washitakiwa hao.

Mahakama imewataka viongozi hao wa DECI wasifanye mkutano wowote unaohusiana na taasisi hiyo mpaka kesi itakapokwisha.

Brian na marafiki

Brian
Brian na marafiki
KUNA mdau kanitumia picha hiyo ya Brian na wenzake, namshukuru sana.

Brian a.k.a Imeda ni mwanangu.

Arsene Wenger asema ya moyoni

Arsene Wenger

Fabregas (kushoto) na Wilshere
KOCHA wa klabu ya soka ya Arsenal, Arsene Wenger (59) leo ameamua kusema ya moyoni, kaeleza undani wa mambo mengi ambayo hajawahi kuyasema tangu ajiunge na The Gunners miaka 13 iliyopita.

Wenger amesema amekataa kujiunga na Real Madrid kwa sababu angefanya hivyo ANGEISALITI Arsenal.

Kwa mujibu wa kocha huyo, miaka minne iliyopita alianzisha mradi wa kuiimarisha Arsenal, anataka aone matunda ya kazi yake.

Wenger anaamini kwamba, kwa kazi aliyoifanya atashinda taji akiwa na Arsenal.

Amesema, mradi wake ulikuwa wa miaka minne, karibu utakwisha, na kwamba Arsenal imeiva na ipo tayari kuwa bingwa.
Amesema, mikakati yake ni tofauti na ya makocha wengine wenye mtazamo wa kununua wachezaji kila wakati, na ipo siku wanaompinga watakiri na kumpongeza.
Ametoa mfano kwamba, wakati Fabregas alipojiunga na Arsenal akikuwa na umri wa miaka 19, uchezaji wake haukuendana na wa Patrick Vieira.
Uchezaji wa Vieira uliendana na wa Gilberto Da Silva, hivyo kama asingemuuza Vieira, Fabregas angehama hivyo aliamua kurisk kwa kumuuza Vieira.
Amesema, amemnunua Jack Wilshere (17), atafanya kama alivyofanya kwa Fabregas.
Wenger amesema, amewauza Kolo Toure na Amanuel Adebayor, ila swali kubwa kwake lilikuwa endapo angeweza kumuuza Adebayor.
Kasema jibu la swali lake lilikuwa hivi, unaweza kushindana na nguvu ya fedha ya Manchester City wanaotaka kutengeneza timu kubwa? jibu ni kwamba ASINGEWEZA.
Wenger kasema, Arsenal wasingemuuza Adebayor, City wangemnunua Samuel Eto'o kwa kuwa wana 'mkwanja'.
Sijaelewa jibu la Wenger kuhusu Adebayor, ni kweli Man City wana 'kisu' cha kununua wachezaji, lakini kuna uhusiano gani kati ya fedha hizo na kumuuza Adebayor?
Kama City wangemnunua Eto'o, Arsenal wangeathirika nini kwa kubaki na Adebayor? sijamuelewa!
Soma hapo chini
In his most detailed interview since arriving at Arsenal 13 years ago, Wenger admitted he knew exactly the scale of the project he was turning down when he rejected the opportunity to work with Cristiano Ronaldo and Kaka at Madrid this season.
He says he stayed because he believes he can win the title with Arsenal.

‘I felt if I left I would have in some way betrayed my beliefs,’ Wenger told Sportsmail as he launched Arsenal’s Great Ormond Street charity appeal.

‘It was that simple. It was nothing to do with Real Madrid, it was about Arsenal.

‘I knew what Madrid were about to do, but I have a project here that I started four years ago and I wanted to reach the end of it.
I could not leave this team at this stage of their development.

The team we have now gets there, and by that I mean it wins the championship.

At 22 or 23 I think a team is mature enough to deliver and it is a massively important year for our club. I am conscious of that.

I know people have no patience any more, but I agreed on a structure at the club that I believed could work, and we are at the period now when we will see whether I was right.

‘To talk of winning the league is an audacious statement but I built this team and I want to deliver with this team.

‘So far, we have flirted with success. We were never in the race for the championship last year, but before that, and certainly in 2006, when we were in the Champions League final, it happened.

‘The team looks to be growing and gelling and being close, but at the moment they do not get credit for what they produce and, like every team who have not won a trophy,they still doubt whether they can win.

‘Other clubs have more money but that is not difficult for me.

At Arsenal, we try to go a different way that, for me, is respectable. When you look to buy all the time it becomes a trap.

Glory days: Wenger's Arsenal became the first team since Preston North End's 'Old Invincibles' to remain unbeatable in the top flight
‘When Cesc Fabregas was a teenager, I would play him with Patrick Vieira and it did not work.

Gilberto Silva and Vieira worked, Fabregas and Silva worked, but I could not play Fabregas and Vieira.

But Fabregas was 19 and if he did not play I knew he would want to go, so we risked destroying everything, all the work we had put into this player. That is why I sold Vieira.

‘Now we have that situation with Jack Wilshere.

He is 17 and we cannot ask him to play every game to win the championship.

But next year he will be ready, he will want to play all the time and if we have bought a player in his position he will want to go.

Prize assets: Wenger has nurtured Fabregas' many talents and the 59-year-old looks to do the same with Wilshere ‘I believe in work, in connections between the players.

You can win in different ways, by being more of a team, or by having better individual players, but I think what is more important is to look at what you have at your own club.

‘If I had gone to Real Madrid I would have spent, yes.

If you have the money and you find the one player who can make you win and make the difference, no matter how expensive he is, you should do it.

But there are not many players in the world who will make a real difference.

Wenger also defended selling two of his first-team players, Emmanuel Adebayor and Kolo Toure, to Manchester City, tipped as strong challengers to Arsenal this season.

‘My only question was whether we could afford to sell Adebayor,’ Wenger added.

‘You come to the conclusion, can you stop Manchester City creating a big team? I don’t believe so.

If we do not sell Adebayor they will buy Samuel Eto’o or somebody because they have the resources.

Thursday, August 13, 2009

Anaomba 'past papers' za chekechea

KUNA mdau kanitumia ujumbe huu, anaomba msaada, anayeweza kumsaidia anaweza kumpata kwa kutumia anuani yangu ya barua pepe. bmsongo@hotmail.com
"Ndugu yangu nina shida kweli naomba unisaidie. Nina mwanangu ananisumbua kweli! una notes au past papers za chekechea? Niazime ndugu yangu.
Tafadhali msaidieni mwenzetu.

Beyonce anusurika Japan

Beyonce akiingia katika mgahawa wa Nello juzi usiku 'kula dinner' na mumewe Jay-Z.
Alikwenda hapo muda mfupi baada ya kurejea New York, Marekani akitoka Tokyo nchini Japan.
Beyonce(Kulia) na mdogo wake, Solange
MWANAMUZIKI maarufu duniani, Beyonce amenusurika kifo nchini Japan.
Huenda siku hiyo itakuwa moja ya kumbukumbu mbaya za maisha yake hasa akikumbuka namna alivyopagawa na kupiga kelele za kumuita mama yake wakati tetemeko la ardhi lilivyolitikisa jiji la Tokyo.
Wakati ardhi, majumba na samani vikitikisika, Beyonce alikuwa chumbani hotelini akitazama TV.
Beyonce na mdogo wake, Solange walikuwa Tokyo kwa ajili ya kutangaza mavazi na kupiga picha za filamu yake (Beyonce).
Tetemeko hilo la ukubwa wa richa 6.6 'liliwavuruga' maelfu ya wakazi wa Tokyo na kuna taarifa kwamba,Japan ni miongoni mwa nchi zenye uwezekano wa kutokeo matetemeko makubwa katika miaka 50 ijayo.
Soma hapo chini
very relieved Beyoncé Knowles reunited with her husband Jay-Z in New York last night after she was caught up in a Japanese earthquake measuring 6.6 on the Richter scale.

The couple enjoyed a romantic dinner at Nello restaurant on the Upper East Side hours after she flew into the U.S. from Toyko.

Beyonce was in Japan with her sister on a fashion promotion at the Disneyland Hotel in Urayasu, Chiba province when nature let rip.

The chart-topper's younger sibling Solange described the moment on her Twitter page, saying, 'My sister said she was scared out of her mind and calling my mom and I was snoring. How did I sleep through a SERIOUS earthquake?'

The girls weren't the only ones to feel the earth move.

Singer and Dukes of Hazzard star Jessica Simpson was in Tokyo to film her new reality show 'The Price of Beauty' when the 6.6 quake hit.

‘Thought I was hallucinating,’ she wrote on Twitter. ‘I have never felt anything like this in my life.’

Happy homecoming: The singer is back in the U.S. after her earthquake scare in Japan days earlierThe 29-year-old was watching television in bed when the rumbling started.

The Japan Meteorological Agency said a strong earthquake with a preliminary magnitude of 6.9 had shaken the Japanese capital of Tokyo and surrounding areas.

There were no immediate reports of damage or casualties from the quake which rattled furniture and walls.

Wednesday, August 12, 2009

Wewe ungefanyaje?






FIKIRIA, upo likizo, umeamua kwenda kutembea mbugani kutazama wanyama, wakati upo katikati ya mbuga hiyo kuna mnyama kakuvutia, unapunguza mwendo ili umuone vizuri zaidi, ghafla hao jamaa wanakuvamia.
Ni wengi kiasi kwamba huwezi kuwazuia, wakati ukijiuliza nini kinaendelea, wanafungua mlango mdogo wa juu ya gari, wanaanza kuchukua vilivyomo zikiwemo nguo na kuanza kujigawia.
Soma hapo chini
The baboons have discovered a knack for opening the luggage boxes, forcing staff to warn visitors against entering the enclosure with the roof-top devices See no evil: Trying on a new hat for size.

'Their technique involves the largest baboons jumping up and down on the box, flexing it until the lock bursts open, then the rest of the baboons pile in to see what they can find,' Mr Ross said.

'Obviously, we're well used to them helping themselves to the odd wing mirror or wiper blade, but this has taken things to a whole new level.

'Let's face it, nobody wants to see a baboon running up a tree with their underwear.'

But Mr Ross said some visitors continued to ignore the warnings and paid a high price, with staff forced to re-enact the scenario for park guests so they could see the effect for themselves.

'Unfortunately though, we still get drivers who don't think it will happen to them and they decide to take a chance,' he said. 'That's why we recently staged a demonstration to show the reality of the risks drivers face.

'The baboons were into the luggage box on our car within minutes and absolute mayhem ensued.

'We will now be able to show photographs of this incident to visitors with cargo boxes who may be thinking of playing "Russian roulette" in the monkey jungle.'

There are currently more than 140 baboons at Knowsley Safari Park and visitor surveys consistently show them to be the attraction's most popular exhibit.

Watoto 'chapombe' watibiwa

WATOTO nchini Scotland wamekithiri kwa ulevi.
Watoto hao kuanzia umri wa miaka tisa wamekuwa chapombe kiasi cha kuwalazimu wapate tiba hospitali kuwasaidia waishi maisha ya kawaida.
Inadaiwa kwamba watoto wa huko waanza ulevi 'mapemaaa' , 'wanapiga sana mtungi' na baadhi yao wanaaaga dunia kwa sababu ya matatizo ya ini.
Soma hapo chini
KIDS as young as NINE are being treated for alcohol abuse at a drying-out clinic.
Staff at a centre in Aberdeen have already helped six boozers under the age of 10 this year.

Andrew Hall, chief executive of Alcohol Support, which runs Albyn House clinic in the city, said they had 38 under-16s registered, with dozens more on the waiting list.

And he believes the binge drinking epidemic facing Scotland's youth is only going to get worse.

Mr Hall said last night: "There is an increasing demand on our service from children aged nine and up - it's a growing problem.
"At one stage this year we were treating six children under the age of 10.

"All the evidence shows that children are starting to drink earlier, they are drinking more and the results are getting worse - we now have kids dying of liver failure."
Mr Hall - whose group treats 1,000 people a year - said the majority of the children involved were aged 11 to 15.

Tuesday, August 11, 2009

Mkenya anataka kumuoa mtoto wa Clinton

Chelsea, Mtoto pekee wa Rais Mstaafu wa Marekani, Bill Clinton na Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo, Hillary Clinton

Chelsea akiwa na wazazi wake

Chelsea na mama yake

Mama na mwana

Mtoto wa wazazi

KATIKA hali isiyotarajiwa, raia wa Kenya,Godwin Kipkemoi Chepkurgor amemuandika barua Clinton na mkewe, Hillary akieleza nia ya kutaka kumuoa binti wao, Chelsea.
Chepkurgora ana mke mmoja, yupo tayari kutoa ng'ombe 20 na mbuzi 40 ili awe mume wa msichana huyo.
Agosti 5 mwaka huu, mke wa Clinton alimweleza mwanaume huyo kwamba, hawezi kutoa jibu la barua hiyo ya mwaka 2000 kwa kuwa Chelsea anafanya uamuzi wa mambo yake.
Mwanaume huyo amesema, alipomuona Chelsea miaka kadhaa iliyopita alimpenda na ameamua kumuoa.
Amesema, hajakata tamaa, anaendelea kusubiri, na kapania kufanya bonge la harusi.
Hata hivyo kuna nyepesi kwamba, Chelsea na 'king'asti' wake, na wanajiandaa kufunga ndoa.
Soma zaidi hapo chini
A Kenyan man's offer of 40 goats and 20 cows for Chelsea Clinton's hand in marriage may still be on the table – and Hillary Rodham Clinton has promised to convey the "very kind offer" to her daughter.

To laughter at a town hall meeting Thursday in Kenya, CNN's Fareed Zakaria asked the U.S. Secretary of State if the Clintons had made a decision on the dowry offer.
In 2000, a Kenyan man wrote to then-president Bill Clinton offering the animals in accordance with African tradition.

After a pause, Clinton said, "My daughter is her own person, very independent, so I will convey this very kind offer."

Clinton has denied rumors that her daughter, 29, is planning to get married this summer.