Sunday, July 31, 2011
Friday, July 29, 2011
Habari njema kwa mashabiki wa Arsenal
Babu Wenger
Valencia winger Mata has told friends he is joining the Gunners in a £19m deal.
And boss Arsene Wenger, rapped for not being more active in the transfer market, hopes to snap up Everton defender Jagielka with a £15m offer.
Arsenal's £13m bid for Jagielka is set to be turned down - but they will make another immediate attempt to land the England centre-back.
Both buys will smash the club's £12m record fee paid to Zenit in 2009 for Andrey Arshavin.
The arrival of Mata, 23, would be seen as a coup as Spurs have also launched a last-ditch bid.
Jagielka, 28, is expected to demand a four-year contract and wages of up to £100,000 a week.
Gunners striker Nicklas Bendtner is set to finalise a £9m move to Sporting Lisbon this weekend.
Wabunge watatu watimuliwa bungeni
Walifukuzwa kutokana na kile Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai alichoeleza kuwa ni kukiuka Kanuni za Bunge zinazowataka kutozungumza chochote ndani ya bunge bila idhini ya kiti cha Spika.
Ndugai bila utaratibu, Wenje alifukuzwa kwa sababu alitaka mwongozo wa kiti cha Spika Mwenyekiti wa Bunge akakataa.
Lissu, Msigwa na Lema walipinga kile walichokiita muda mrefu aliokuwa amepewa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu ( Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi, kueleza kukiukwa kwa kanuni za Bunge.
Lukuvi aliomba kupewa mwongozo wa Naibu Spika mara baada ya Lema ambaye ni Waziri Kivuli wa Mambo ya Ndani ya Nchi, kusoma hotuba ya maoni ya kambi ya upinzani kuhusu wizara hiyo ambayo ilikuwa na shutuma nyingi
dhidi ya Serikali, hasa Jeshi la Polisi
"Nimesema hairuhusiwi kuwasha mic (kinasa sauti) yako bila ruhusa yangu...waziri endelea...." alisema Ndugai.
tofauti na msimamo wa awali aliokuwa ameutoa Naibu Spika huyo
"Nilishasema tangu asubuhi na nimewakumbusha kwamba hakuna Mbunge anayeruhusiwa kuwasha microphone (kinasa sauti) na kuzungumza bila idhini ya kiti, sasa naanza kutumia kanuni, nimewaona wabunge watatu, Mheshimiwa
Lissu, Mheshimiwa Mchungaji Msigwa na Mheshimiwa Lema, tokeni nje," aliamuru Ndugai na kuongeza:
Kwa mujibu wa kanuni za Bunge, wabunge hao jana hawakuruhusiwa kurejea tena bungeni siku hiyo, badala yake watarejea leo kwa kuwa adhabu yao ni kukosa kikao kwa siku moja tu.
Thursday, July 28, 2011
Rihanna- Ninaposex nataka kujisikia mwanamke
Rihanna anasema, anajiongoza karibu katika kila kitu cha maisha yake, hivyo anataka anapovunja amri ya sita, a.ka. anaposex, a.ka. anapojamiiana, ajisikie kuwa yeye ni mwanamke, yaani mwanaume atawale mpambano.
'Mchuchu' amuonya mke wa Ashley Cole
Bunge lachafuka tena, Mbunge atimuliwa
Wenje anaeleza alitaka kuzungumzia nini kwenye jambo hilo la dharura
Wabunge kutoka Kambi ya upinzani jana walimsuta Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe baada ya Mbunge huyo kumweleza Mbunge wa Nyamagana, Ezekiah Wenje kuwa alikosa ustaarabu kwa kutomtii Mwenyekiti wa Bunge, Sylvester Mabumba.
Kwa mujibu wa Wenje, Kanuni za Bunge zinamruhusu Mbunge kuzungumzia jambo la dharura, na kwamba, yeye alitaka kuomba Bunge lijadili suala la samaki wanaodaiwa kuwa na sumu walioingizwa nchini kutoka nchini Japan.
Filikunjombe (wa pili kushoto) ilibidi awe mpole.
Wednesday, July 27, 2011
Wanawake waiba chupa za shampeni, wazificha sehemu za siri
Two women stole several bottles of champagne from a South Florida liquor store by shoving them up their skirt, all totally in view of the surveillance camera.
The upskirt bandits struck at the DPF Liquors store in Pembroke Park.
According to the owner, Paul Mouts, the two women made their way to the back of the liquor store, opened the cooler and put several Champagne bottles under their billowing skirts.
He said: 'They came over here, right in this fridge where I keep my cold Champagne and my cold wines, righton this row. Now it's missing. There's nothing on this row.
Surveillance video captured the first woman grabbing a bottle off the shelf, which she then placed under her skirt. The other woman followed and grabbed another bottle and put it up her skirt.
Mr Mouts said: 'How easy was that? She put it on this shelf. Then she picked it up. Then she put it right here, so easily. It was like nothing.'
He said a total of four bottles were stolen, with a total estimated value of $400.
'They took four bottles of Moet Rose, which is a high-demand item, and there's not enough supply, and it's worth about $90 each,' he said.
'These women are low-life people to me, and it's really not worth it to do that.'
He added: 'To us over here, it wasn't too funny. It's a big hit, $400, especially nowadays.'
Last October, the same store, and another liquor store, a block away, was hit in the same manner.
Mouts said, 'It's very frustrating. It's the second time, and I want them caught.'
Man City walamba dume
He tweeted: "Just landed in Manchester to finalise the details of the deal with City. Everything is good! I'll tell you more soon."
Aguero has been a long-term target for City boss Roberto Mancini.
But the Italian's urgency to secure the Argentina international, 23, increased when Carlos Tevez declared his intent to quit the Etihad.
Aguero, who is married to Diego Maradona's daughter, is set to sign a five-year contract with City, worth £170,000 a week.
The player has made 175 appearances for Atletico and scored 74 goals. He has also hit 13 goals in 30 senior matches for Argentina.
Boss Mancini and City found themselves in the driving seat a few weeks ago when Arguero declared he favoured a move to England.
R Kelly kutoimba tena?
R Kelly matatani
In a foreclosure action filed in June in Cook County Circuit Court, J.P. Morgan Chase Bank N.A. said that the singer, whose full name is Robert S. Kelly, had not made a monthly payment on the 11,000-square-foot home in Olympia Fields in south suburban Chicago since June 2010.
The suit said the current principal balance on the loan was more than $2.9 million, not including unpaid interest, which accrues at rate of $251 a day.
The original loan issued in 1999 was for $3.5 million, according to the lawsuit, and the monthly payments were $24,345.12.
The property has a number of liens on it, according to the lawsuit, including nearly $2 million from the Department of the Treasury.
The 44-year-old R&B star, who won three Grammy Awards in 1998 for his song "I Believe I Can Fly," is no stranger to controversy.
In 2008 a jury acquitted him of child pornography charges.
Monday, July 25, 2011
Changamoto kwa Serikali ya Kikwete
Mwanamke mzuri ni yupi?
familia, mpenda amani na kumfanya mume wake aone kuwa hakukosea kumchagua yeye kuwa mke wake.
maana wanawake wazuri kwa sura na umbo wana soko kubwa sana kwa wanaume, lakini huishia 'kuchezewa' a.k.a kutoa uroda tu na si kuolewa.
moyo,shinikizo la damu na wakati mwingine hata kuwafanya kupata matatizo fulani ya kiakili
Hiyo inatokana na waume hao kuwa katika mashaka ya wake zao kuchukuliwa na wanaume wengine wakati wowote kutokana na uzuri wao.
wale wanaoonekana kuwa ni wazuri sana kwa sura na umbo na ambao tabia na mienendo yao si mizuri, ndoa zao
hazina umri mrefu.
USALITI
Wapenzi hawa wana ujuzi wa kutumia mitandao ya kijamii, siku moja wakajikuta wanachati kwenye thread wakitumia majina ya bandia.
Mambo yakaendelea, wakirudi home kila mtu akijifanya mtakatifu, wakaoneshana mapenzi motomoto.
Sunday, July 24, 2011
Buriani Danny Mwakiteleko
Mwili wa marehemu utaagwa nyumbani kwake Tabata, Chang’ombe, kesho Jumatatu na utasafirishwa, atazikwa Jumanne.
Mwakiteleko alipata ajali ya gari alilokuwa akiendesha aina ya Nadia, lililopamia tela la lori katika Barabara ya Nelson Mandela, Dar es salaam usiku wa kuamkia Jumatano.
Kwa mujibu wa madaktari, Mwakiteleko alipata majeraha makubwa kwenye paji la uso, Jumatano alifanyiwa upasuaji na kuendelea kuwa katika hali ya kukosa fahamu katika chumba cha Wagonjwa wanaohitaji Uangalizi Maalumu (ICU).
Rais Jakaya Kikwete alikuwa mmoja wa watu waliofika kumjulia hali juzi hospitalini hapo.
Mwakiteleko alizaliwa Novemba 1966 Rugombo, alipata elimu yake ya msingi Tunduma, kabla ya kujiunga na sekondari ya Iyunga, Mbeya na kisha sekondari ya juu Mzumbe mkoani Morogoro.
Baada ya kuhitimu mafunzo yake ya Chuo Kikuu mwaka 1993, alijiunga na gazeti la Tanganyika Leo akiwa mwandishi wa habari ambalo alikaa nalo kwa muda kabla ya kujiunga na Habari Corporation na kisha kuhamia Business Times Limited (BTL). Aidha alikuwa ni mmoja wa waasisi wa kampuni ya Mwananchi Communications ambao ni wachapishaji wa gazeti la Mwananchi ambako alifanya kazi kwa miaka saba.
Wakati akifanya kazi Mwananchi alihamishiwa kwa muda Nation Group ya Kenya ambako alifanya kazi hadi yalipotokea machafuko baada ya uchaguzi mwaka 2008.
Friday, July 22, 2011
Waziri aliyetekwa aachiwa
Asho Osman Aqiil, who was on Wednesday named as Minister for Women and Family Affairs in the new cabinet line-up of Prime Minister Abdiweli Mohamed Ali's government, was kidnapped from her home by heavily armed fighters from Al Shabaab group in the rebel- controlled town of Balad, 30 km north of the Somali capital Mogadishu.
"They ( Al Shabaab commanders) let her go because she told them that she was not aware of the appointment and that she did not want to take the post," Mowlid Maane, a lawmaker who is from the same Middle Shabelle region as Aqil, told Xinhua.
Maane, who expressed surprise that Aqiil was named minister while she was still in Al Shabaab controlled area, said that she was not harmed and that she was staying at her home in the town where Islamist rebels have been in control of the past three years.
Aqiil, a mother of nine, is reported to have lived in the insurgent-run town for several years. She was travelling to Mogadishu when Islamist rebels seized her near her home.
The Islamist rebel group of Al Shabaab has not commented on the kidnapping of the Somali minister but the group is known to target senior government officials in the past.
Somali Prime Minister Abdiweli Mohamed Ali on Wednesday announced his new 18-member cabinet which mostly comprise of technocrats who have not been known in Somali politics.
The new Somali government is expected to face huge challenges as the country is suffering severe drought and famine in the south while battling Islamist insurgency.
The Somali government controls only parts of the capital while Islamist rebels run much of south and center of the war-torn country.
The government has one-year term to fulfill a number of transitional tasks including the drafting of a new constitution for the country to complete the reconciliation process.
Waziri atekwa
The 32-year-old Asha Osman Aqiil, a former woman activist turned politico, was kidnapped by armed men in the town of Balad, north of Somalia's capital, Mogadishu. Aqiil's abduction comes barely a day after she had been named Minister for Women and Family affairs.
Aqiil is the lone woman in the 18-member cabinet unveiled by Prime Minister Abdiwali Mohamed Ali on Wednesday. She was kidnapped while on her way to attend her first cabinet meeting.
The kidnapping has invited severe condemnation from female rights activists who vowed to do what they can to secure women's rights.
Al-Shabab with ties to al-Qaeda terror outfit seeks to overthrow the Somali government and impose an Islamic government in the country. The outfit has been designated a terrorist outfit by the US and several other countries.
The African nation has not had a functional government since the ouster of Mohamed Siad Barre in 1991 and its current Sheikh Sharif Sheik Ahmed government's influence is limited to certain pockets of Mogadishu.
Jairo yupo likizo, anachunguzwa
Barua iliyomponza Jairo
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, David Jairo, amepewa likizo kuanzia leo ili Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali amchunguze.
Katibu Mkuu Kiongozi, Phillemon Luhanjo, alisema jana mjini Dodoma kwamba, tuhuma zinazomhusu Jairo ni za fedha, na kwamba, CAG kapewa siku 10 achunguze Jairo.
Luhanjo amesema, ndani ya siku kati ya mbili na tatu, atakuwa amemteua mtu wa kukaimu nafasi ya Jairo.
Amesema, wakati Jairo akiwa likizo hiyo ya lazima atalipwa mshahara kama kawaida.
Luhanjo amesema, tuhuma dhidi ya Jairo ni nzito na imemlazimu kuamua aende likizo licha ya kwamba Sheria namba 8 ya mwaka 2002 na kanuni zake za utumishi wa umma za mwaka 2003, inaruhusu mtuhumiwa kuendelea na kazi wakati uchunguzi ukifanywa.
Amesema, tuhuma zinazochunguzwa ni zilizotolewa na baadhi ya wabunge wakati wakichangia hotuba ya Makadirio ya Matumizi ya Wizara ya Nishati na Madini.
Jairo anatuhumiwa kuzitaka taasisi, vitengo na idara zilizo chini ya wizara hiyo, zichangie Sh milioni 50 kila moja, ili fedha hizo zitumike kulipa wabunge na kufanikisha mawasilisho ya makadirio hayo.
Tuhuma zingine ni za kulipa masurufu ya safari watumishi walio chini ya wizara hiyo na taasisi zake, ambao tayari walishalipwa na wizara na taasisi hizo.
“Hataendelea na kazi kipindi cha uchunguzi. Hatua zaidi zitategemea uchunguzi huo wa awali… nimeamua niseme, msianze kubashiri, kwamba tunamsubiri Rais aliyemteua, mimi ndiye mwenye mamlaka … nikipata taarifa ya uchunguzi wa awali, nitampa notisi ya matokeo ya awali,” Luhanjo aliwaambia waandishi wa habari.
Luhanjo alisema kulingana na Sheria namba 8 ya mwaka 2002 na kanuni zake za utumishi wa umma za mwaka 2003, mwenye mamlaka ya nidhamu kwa mtumishi yeyote wa umma anayeteuliwa na Rais kasoro wanasiasa, mawaziri na wakuu wa mikoa, ni Katibu Mkuu Kiongozi.
Alisema katika kushughulikia tuhuma zinazomkabili mtumishi wa umma, lazima uchunguzi wa awali ufanyike kwa mujibu wa kanuni za utumishi wa umma, ili kubaini kama mtumishi husika ametenda kosa la kinidhamu.
“Katika kipindi cha uchunguzi, mtumishi anayetuhumiwa, anaweza kupewa likizo ya malipo ili kupisha shughuli za uchunguzi au akaruhusiwa kuendelea na kazi wakati uchunguzi ukifanywa,” alisema Luhanjo.
Alifafanua kwamba kama uchunguzi wa awali dhidi ya Jairo, utabaini makosa ya kinidhamu, Mamlaka ya Nidhamu itampa taarifa za tuhuma ambazo zitaambatana na hati ya mashitaka, itakayoelezea kwa ufupi kosa alilotenda na ni lini anapaswa awe amejibu tuhuma husika.
Mtuhumiwa anapaswa asimamishwe kazi na kulipwa nusu mshahara.
“Mtuhumiwa atatoa maelezo yake kwa mujibu wa hati ya mashitaka aliyopewa. Anaweza kukataa au kukubali. Akikubali, Mamlaka ya Nidhamu itaendelea kutoa adhabu kulingana na uzito wa kosa. Adhabu inaweza kuwa kufukuzwa kazi, kupunguzwa cheo au kupunguzwa mshahara ama adhabu nyingine iliyoelekezwa na Sheria ya Utumishi wa Umma.
“Iwapo atakana mashitaka, Mamlaka ya Nidhamu itaunda Kamati ya Uchunguzi itakayopewa hadidu za rejea ambazo pamoja na mambo mengine, zitaeleza muda wa uchunguzi huo
kukamilika. Taarifa ya Kamati itawasilishwa kwa Mamlaka hiyo, ikiwa na mapendekezo. Ikumbukwe kuwa Kamati hii haitoi adhabu kwa mtuhumiwa isipokuwa inatoa mapendekezo tu,” Luhanjo alisisitiza.
Baada ya taarifa ya Kamati ya Uchunguzi, Luhanjo alisema Mamlaka itaendelea kutoa adhabu kwa mujibu wa mapendekezo ya Kamati hiyo. Kama adhabu itakuwa ni kuvuliwa madaraka, Mamlaka ya Nidhamu itawasiliana na Mamlaka ya Uteuzi kuhusu kutekeleza suala hilo.
Hata hivyo, Luhanjo alisema iwapo mtuhumiwa hajaridhika na uamuzi unaoishia kwa Mamlaka ya Nidhamu, sheria zinampa fursa ya kukata rufaa kwa Rais. “Rais ana mamlaka ya kuthibitisha au kukataa uamuzi wa Mamlaka ya Nidhamu,” alisema.
Tuhuma dhidi ya Jairo ziliibuliwa Julai 18 bungeni na Mbunge wa Kilindi, Beatrice Shelukindo (CCM).
Yanga shangwe bungeni Dodoma
Thursday, July 21, 2011
Pinda- Serikali haijashindwa kumaliza mgawo
Pinda- Kumsubiri Kikwete si kuvunja Katiba
Pinda amewaeleza wabunge kuwa, ni kweli kuwa wakati tuhuma hizo zinazoashiria wabunge kuhongwa zilipotolewa bungeni Rais hakuwepo, Makamu wa Rais, alikuwepo, lakini unapokaimu urais huwezi kufanya uamuzi kadri unavyojisikia.
Waziri Mkuu amesema, unapokaimu urais unakuwa na mipaka ya kufanya uamuzi, na kwamba, maana ya kukaimu madaraka hayo ni kurahisisha mawasiliano na mkuu wa nchi katika utekelezaji wa majukumu ya kuiongoza serikali.
“Amenijibu kuwa ‘sawa, nisubiri nitakaporudi Afrika Kusini tuone tunafanyaje’,” alisema Pinda nje ya ukumbi wa Bunge akimnukuu Rais Kikwete.
Jumatatu wakati wa mjadala wa makadirio hayo, wabunge waliibua kashfa wakituhumu wizara hiyo kuchangisha Sh bilioni moja kutoka idara na taasisi zake kwa ajili ya kufanikisha uwasilishaji wa makadirio hayo.
Mbunge wa Kilindi, Beatrice Shelukindo (CCM), aliibua sakata hilo wakati akichangia hotuba ya Makadirio hayo kabla hayajaondolewa bungeni.
Shelukindo aliwasilisha barua bungeni iliyoandikwa na Jairo ikizitaka idara na taasisi zote za wizara hiyo, kila moja ichangie Sh milioni 50 kwa ajili ya kukamilisha maandalizi ya uwasilishaji wa hotuba ya bajeti.
Pinda alikiri kwamba Jairo aliudhi na kutibua wabunge ana aliahidi kumjulisha Rais Kikwete ili achukue hatua.
“Lazima nikiri hata mimi nilishtuka sana tena si kidogo, kwani suala hili limegubikwa na maswali mengi hakuna namna ya kutetea,” alisema.
Wednesday, July 20, 2011
Saa ya Christiano Ronaldo
So it's perfectly reasonable for Cristiano Ronaldo to purchase a snazzy new watch which displays four different time zones.
The Real Madrid star was pictured with the luxury timepiece attached to his wrist as he headed into training in Los Angeles.
Rihanna aomboleza kifo cha shabiki wake
The 17-year-old known only as Karen, who ran a Twitter fan page for the singer, died on Tuesday in a fatal car accident.
The singer was told by Karen’s friend Anderson that the teenager had died in a car crash and was listening to Rihanna at the time.
The 23-year-old singer paid tribute to her fan and tweeted: ‘One of my biggest RihannaNavy fans died today in a car accident!!! Gone but never EVER forgotten!!!! She was only 17 #DearKaren’
The 17-year-old girl was said to be listening to Rihanna's music when she died. The singer seen leaving her hotel in New York before learning the news
Other Rihanna fans have paid tribute to the teenager and Rihanna has retweeted a number of the messages on her page.
Majina ya watoto wa Beckham kwenye viatu
Hivi karibuni, mtaalamu huyo wa mipira ya adhabu alionekana akiwa amevaa viatu vyenye majina ya mtoto wake wa kwanza, Brooklyn (12), Romeo (8), Cruz (6) na mwanawe pekee wa kike, Harper Seven mwenye umri usiozidi wiki moja.
The LA Galaxy player, who welcomed daughter Harper Seven with wife Victoria earlier this month, was photographed with the names of 12-year-old Brooklyn, 8-year-old Romeo, 6-year-old Cruz and 1-week old Harper in gold writing on the side of his shoe during a recent match.
David has described his new baby as "stunning", saying that the child is a mixture of himself and Victoria.
He has also pledged to be a more "delicate" father to his daughter, saying that he is "so lucky" to have a little girl.
David and Victoria are said to have decided that Harper will be their last child and they have no plans to expand their family further.