Friday, December 23, 2011

Maelfu waenda kula Christmas 'Sauzi'

The Department of Home Affairs has so far facilitated the smooth movement into and out of the country from 1 to 22 December 2011 of over two million travellers through its ports of entry ahead of the Christmas festivities this coming weekend, said Home Affairs Minister Dr Nkosazana Dlamini-Zuma on Thursday, 22 December 2011.


Through its Advanced Passenger Processing and Movement Control Systems, a legacy of the 2010 FIFA World Cup, the Department has facilitated the movement into and out of the country from 1-22 December 2011 of 2 323 192 (two million three hundred and twenty three thousand one hundred and ninety two) through its air, land and sea ports including OR Tambo, King Shaka and Cape Town International Airports.


In anticipation of increased traveller volumes, an additional 154 immigation officers have also been deployed to the Maseru, Lebombo and Durban Harbour Ports of Entry.


In addition we have increased the hours of operation from 22-24 December 2011 at certain ports of entry as follows:


Mahamba from 07h00 to 00h00, Mananga from 07h00 to 20h00, Jeppes Reef from 07h00 to 22h00, Qacha’s Nek from 06h00-22h00 and Tellebridge from 06h00-20h00. From 22 December 2011 to 9 January 2012 the van Rooyenshek Port of Entry will operate from 06h00 to 00h00.


Meanwhile the 350 former South African National Defence Forces (SANDF) officers who were laterally transferred to the Department of Home Affairs and trained in immigration, successfully assumed duty at OR Tambo International Airport on Wednesday, 21 December 2011.


The deployment comes ahead of efforts to re-engineer the Department has a security and service orientated Department, simultaneously enabling it to take its rightful place as a security department in the Justice, Crime Prevention and Security (JCPS) Cluster.


While the officers have been trained to render expeditious services, they will also ensure a thorough security assessment of all travellers into and out of the Republic in line with our immigration laws.


In this regard, the deployment was not without its teething problems which resulted in delays in the processing of travellers in line with security requirements.


Accordingly Minister Dlamini-Zuma reiterates the appeal for travellers through OR Tambo International Airport to exercise patience following recent changes in immigration systems at the airport while expressing confidence that with the passage of time, the efficiency levels will improve without compromising the security of our country.


Finally, in pursuance of our security mandate, Home Affairs Inspectorate will form part and parcel of law enforcement agency anti-crime operations over the festive season.

Kikwete- Mnaoishi mabondeni hameni

RAIS Jakaya Kikwete amewahakikishia waathirika wa mafuriko ya mvua zinazoendelea kunyesha kwa siku tatu mfululizo sasa, kuwa Serikali itawapa msaada wa hali na mali, lakini lazima wahame mabondeni.


Amesema Serikali ipo tayari kuwatafutia maeneo ya kujenga makazi ya kudumu na kwa dharura iliyopo kuwapa hifadhi ya mahema, vyakula, magodoro, vyoo, maji na huduma ya afya kama ilivyofanyika, lakini haina msamaha juu ya wao kuendelea kuishi mabondeni.


“Wenzetu wa hali ya hewa wanasema mvua hizi zinaendelea, Makamba (Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kabla ya Abbas Kandoro) aliwahamisha kwa helikopta, sasa Sadiki (Said Mecky-Mkuu wa Mkoa wa sasa) naye anawahamisha vivyo hivyo, hivi hali hii tutaiacha ijirudie mpaka lini?.....


“Ni vizuri mjiondoe kwenye maisha ya mashaka, nawahakikishia Serikali yenu ipo nanyi katika hali ngumu hii, lakini ni vizuri muondoke maeneo hayo ya hatari, suala kubwa ni mnahamaje? Kamati ya Maafa ya Mkoa ihakikishe hilo linatekelezwa kwa ubora na mapema,” alisema Kikwete akizungumza na waathirika hao.


Alizungumza na waathirika walio katika Kambi ya Mchikichini, wilayani Ilala, wapatao 1,900 kwa niaba ya waathirika wengine wa kambi nyingine saba zilizowekwa katika shule za sekondari na msingi kwa hifadhi.


Kabla ya kuzungumza nao, Rais Kikwete alipata nafasi ya kuzunguka kwa helikopta kuona athari za mafuriko hayo katika jiji na pia kutembelea kambi hiyo.


Kwa mujibu wa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, watu zaidi ya 20 wamepoteza maisha na 4,900 wameathirika kwa kukosa makazi. Aidha, vifo zaidi havijaripotiwa kwa kuwa bado baadhi ya nyumba zimezingirwa na maji na matope.


Akihutubia hadhara hiyo, Rais alisisitiza watu kuheshimu mikondo ya maji kwa kuwa hakuna mwanadamu anayeweza kuzuia maji, upepo au moto na kutolea mfano kwa Marekani, Australia na nchi zenye teknolojia ya juu, lakini maji huwashinda.


Rais Kikwete aliwaagiza Mipango Miji wafanye kazi ipasavyo kwa kuwa wao ndio wamekuwa vinara wa kugawa maeneo kwa hati halali wakati wakijua wazi ni maeneo hatari kwa maisha ya watu, mabondeni na kwenye mikondo ya maji.


“Maji hayana tajiri wala masikini, nilikuwa napita kwa helikopta nikaona hata kwenye kampuni ile Jangwani (Kajima) ukuta umeenda, Mipango Miji fanyeni kazi vizuri kuepusha yanayoweza kuepukika, mikondo ya maji iachwe nafasi, baadhi ya hawa watu wana hati halali, mmewapa ninyi,” alisema Rais.


Aidha, aliwahakikishia waathirika hao kufuatiliwa kwa karibu suala lao na kuwaahidi kuwa viongozi wakiwemo mameya, wabunge, madiwani na watendaji wahakikishe usiku na mchana watawahudumia mpate makazi maeneo yafaayo.


wali, akihutubia, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sadiki alisema walioathirika ni 4,900 na vifo vilivyoripotiwa mpaka jana asubuhi ni 20 ambapo miili 18 imetambuliwa na miwili bado ipo Hospitali ya Taifa Muhimbili, aliwataka watu wakatambue miili hiyo.


Katika hotuba yake, Sadiki alisema uongozi wa mkoa kwa kushirikiana na viongozi wa kisiasa wamefikia hitimisho la kuwataka wakazi hao wa mabondeni kuridhia kuhama baada ya kutenga eneo katika Wilaya ya Kinondoni la ekari 2,000 linalotoa viwanja 2,800 ili wakazi hao waanze kujenga makazi mapya.


“Lakini tuna taarifa huko nyuma kwamba kuna waliopewa maeneo Wazo Hill, Yombo Dovya, hawakuhamia huko, wakauza na hata hizi huku wakauza, muda si mrefu shule zitafunguliwa hivyo tutahakikisha mnapata hifadhi ya dharura huko ili tuwapishe wanafunzi huku,” alisema Sadiki.


Kwa mujibu wake, kuna kambi zaidi ya saba jijini Dar es Salaam na vitu mbalimbali vimetolewa na wasamaria wema, Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Polisi yakiwemo mahema, vyakula, nguo, dawa na mikeka.


Mbunge wa Ubungo, John Mnyika ametoa vitu vyenye thamani ya Sh milioni moja kwa kambi tano. Gazeti hili lilitembelea katika baadhi ya kambi hizo kwa lengo kujionea hali ilivyo ambapo katika kituo cha Rutihinda, hadi saa 5.45 asubuhi, waathirika 52 waliokuwa wameandikishwa walilalamika kutokuwepo kwa huduma yoyote ikiwemo ya chakula, na magodoro tangu wafike kambini hapo juzi asubuhi.


Akizungumzia suala hilo, msimamizi wa kambi hiyo ambaye pia ni Mtendaji wa Kata ya Kigogo, Kassim Mbezi, alisema iliwalazimu baadhi ya waathirika kuondoka na kujitafutia hifadhi na chakula. Walikuwa zaidi ya 100 kambini hapo na kubaki hao 52.


“Hadi hivi sasa watu waliopo hapa ni 52, awali waliokuwepo wengi lakini wanapokuja na kukuta hali ya kambi ilivyo wanaamua kuondoka na kurudi katika maeneo waliyotoka na wengine kwenda kujitafutia chakula kwa kuwa wana watoto,” alisema Mbezi.


Chanzo: Gazeti la HABARILEO

Angelina Jolie kuibeba tena

Angelina Jolie akiwa na mumewe, Brad Pitt

Angelina Jolie akiwa na baadhi ya wanawe akiwemo binti aliyemuasili.


Brad Pitt and his long-time partner Angelina Jolie just might want to expand their brood of six with the coming new year!

According to OK! Magazine, the duo celebrated Angelina’s directorial debut on December 8th, but they were also celebrating their news of wanting to add to their rainbow nation of kids in 2012.


A source said, “She jokes about triplets constantly. And she’s not a big joker, really.


She and Brad have talked at length. There’s no doubt in anyone’s mind that she’ll have another child.”



Angelina recently said, “Nothing is planned…I could end up pregnant. I don’t know that we’re finished. I don’t know.”


Another insider said, “Angelina is determined. She is dead set on giving the kids a baby brother or sister as soon as possible.”


Do you believe the rumors? Are they trying to add to their already large family in 2012?


What we really want to know is why the tabloids are already starting the 2012 baby rumors?

Thursday, December 22, 2011

Kikwete amteua Jaji Lubuva kuongoza Tume ya Uchaguzi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Mheshimiwa Jaji (Mstaafu) Damian Lubuva kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).


Aidha, Rais Kikwete amemteua Mheshimiwa Jaji (Mstaafu) Hamid Mahmoud Hamid kuwa Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi na Bwana Julius Benedicto Mallaba kuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi.


Taarifa iliyotolewa leo, Alhamisi, Desemba 22, 2011 na Katibu Mkuu Kiongozi, Bwana Phillemon L Luhanjo mjini Dar es Salaam imesema kuwa uteuzi huo umeanza tokea Jumatatu, Desemba 19, mwaka huu, 2011.


Kabla ya uteuzi wake, Mheshimiwa Lubuva alikuwa Jaji katika Mahakama ya Rufani Tanzania na baada ya kustaafu aliteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Maadili ya Viongozi.


Mheshimiwa Lubuva anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Mheshimiwa Jaji Lewis Makame ambaye mkataba wake wa utumishi wa umma ulifikia mwisho Julai, mwaka huu, 2011.


Naye Mheshimiwa Hamid alikuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Zanzibar kabla ya kustaafu kwake na anachukua nafasi iliyokuwa inashikiliwa na Mhe Jaji Omari O. Makungu.


Mheshimiwa Jaji Makungu aliteuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali na baadaye akateuliwa kuwa Jaji Mkuu. Naye Bw.


Mallaba, kabla ya uteuzi wake, alikuwa Mkurugenzi wa Sehemu ya Mikataba (Contracts and Treaties) katika Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali.


Bw. Mallaba anajaza nafasi iliyoachwa wazi na Bwana Rajabu Kiravu ambaye amemaliza mkataba wake wa utumishi Septemba, mwaka huu, 2011.


Imetolewa na: Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, DAR ES SALAAM.


22 Desemba, 2011

Benayoun amkuna Wenger

Benayoun anashangilia bao alilofunga jana lililoipa ushindi Arsenal dhidi ya Aston Villa.


Arsène Wenger has hailed midfielder Yossi Benayoun after his crucial header sank Aston Villa on Wednesday night.


Benayoun came off the bench with 10 minutes remaining to score his third goal of the campaign, heading home from Robin van Persie’s 87th-minute corner.


Wenger had previously sympathised with Benayoun’s lack of match action this season and was quick to praise the Israel international’s attitude after the game.


“He is well integrated in the group, is a fantastic professional and has a great spirit,” Wenger told Arsenal Player.


“He is a very intelligent boy and tonight he did fantastically well when he came on. The changes who came on did very well and stabilised our game I think - Yossi came on and won us three fantastic points.


“You go to City and then to Villa and I have to give fantastic credit to my players, they have given absolutely everything in the last three days with two difficult away games.


“For us to respond well was vital.


I was a bit nervous I must say because for us you have experience and history with us coming to Aston Villa - it is always these kinds of games where it is marginal to win or to lose.


“I was a bit nervous because I knew how important it was to win and I knew that it would be a difficult game.”

Mtoto azaliwa na vichwa viwili, kichwa 1 chaitwa Yesu

Msichana Mbrazili mwenye umri wa miaka 25, amejifungua mtoto wa kiume mwenye vichwa viwili.



Binti huyo, Maria de Nazare, amejifungua kwa njia ya upasuaji, familia yake imefurahi.



Kwa mujibu wa madaktari, mtoto huyo ana moyo mmoja, lakini kila kichwa kina ubongo wake.



Kwa kuwa amempata mtoto huyo wakati huu wa Christmas, kichwa kimoja kimepewa jina la Emanoel na kingine Jesus



Soma zaidi hapo chini



A Brazilian woman who has given birth to a baby with two heads, admitted she had initially expected twins.


Maria de Nazare, gave birth by caesarean at a hospital in Anajas, in Brazil's northern Para state, with her newborn weighing 9.9lbs.


And in a tribute to the religious celebrations at Christmas, she has decided to call the pair Emanoel and Jesus.


The baby has two heads but all his organs are functioning healthily.



The mother was said to have found about the abnormality only minutes before he was born


Following the birth of her baby, mother Maria, 25, admitted that she had been told she was set to welcome twins.


But following a number of tests, doctors have revealed that the baby has two brains and two spines but shares one heart, lungs, liver and pelvis.


The hospital's director, Claudionor Assis de Vasconcelos, told Brazil's O Povo newspaper that the woman decided to travel to the hospital because she was feeling strong abdominal pains.



The 25-year-old mother, who lives in a rural area of the state, had no ultra-sound scans during her pregnancy and only found out about the abnormality minutes before the baby was born at 1am on Monday morning.


He said: 'When doctors scanned her they realised that the baby had two heads and that a normal birth would be a great risk both for mother and baby. The caesarean took an hour because the baby was sitting down.


'Despite all the problems we have as a small interior hospital we managed to save both mother and baby, which was our aim. And for us it was a great surprise to find out that the child was in really good health.'


Neila Dahas, director of the Santa Casa hospital said: 'If both their brains are functioning, how are we going to choose which head to remove?

'We are not considering the possibility of surgery. What we've got to think about at this moment is to maintain the children in good condition and see how they will develop.'



Mr Vasconcelos added that at no point did the mother, who has three other children, appear distraught that her son has two heads


He said: 'On the contrary, the baby was received with much happiness by the family.

'The mother fed both mouths and the baby stayed with her in her room the whole time. Her desire was to take her baby straight home.'

Maafa Dar es Salaam

WATU 11 wakiwamo watatu wa familia moja, wameripotiwa kufa na wengine kadhaa kujeruhiwa kufuatia mvua zilizoendelea kunyesha jana katika Jiji la Dar es Salaam na viunga vyake na kuvuruga mfumo wa usafiri na shughuli za kiuchumi.


Miondombinu mbalimbali ya Jiji hilo ikiwamo madaraja na nyumba vilivunjwa na kusababisha adha kubwa kwa wakazi ambao wengi wao, walishindwa hata kwenda kazini.


Baadhi ya barabara zikiwamo Morogoro eneo la Jangwani na Ali Hassan Mwinyi eneo la daraja la Salenda zilifungwa kwa muda kutokana na kujaa maji kiasi cha kuhatarisha maisha ya watumiaji wake.


Mvua hiyo ya siku mbili mfululizo kunyesha jijini Dar es Salaam, jana ilifanya maeneo mengi zikiwamo barabara muhimu kama Nyerere kuanzia Uwanja wa Ndege, Kawawa eneo la Kigogo Darajani na Mandela eneo la Tabata Matumbi, kushindwa kupitika kwa saa kadhaa kutokana na kujaa maji.


Katika barabara ya Mandela hali ilikuwa tete baada ya maelfu ya abiria waliokuwa wanasafiri kutoka Buguruni kwenda Ubungo, kukwama katika daraja la Matumbi.


Kwa zaidi ya saa nne tangu saa 1:00 asubuhi abiria walioonekana wakishuka kutoka kwenye magari na kutembea kwa miguu mithili ya maandamano, huku makumi ya magari yakiwa yamezimika barabarani.


Wakati hayo yakitokea, watumiaji wa barabara ya Mandela walikwama kutokana na msururu mrefu wa magari kufuatia baadhi yake kuzima na kufunga barabarani.


Katika barabara hiyo eneo la TIOT, ulionekana moshi mkubwa angani uliotokana na moshi wa gesi baada ya bomba linalopitisha gesi hiyo kupasuka.


Moshi huo uliwafanya watu waliokuwa kwenye magari kupatwa na vikohozi.


Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA) imetaja mvua zilizonyesha jana na juzi kuwa hazijawahi kutokea katika miaka ya karibuni, na kwamba mara ya mwisho mvua kubwa kama hiyo ilirekodiwa mwaka 1954.


Baadhi ya madaraja yalisombwa au kuvunjwa na maji hivyo kusababisha shida ya usafiri katika jiji hilo.Daraja la Mbezi katika barabara ya Morogoro lililoko jirani na kibanda cha mkaa eneo la Tanesco lilivunika na kusababisha kukatika mawasiliano ya safari za kutoka na kwenda katikati ya jiji.


Mawasiliano katika daraja hilo yalikatika saa 11:00 alfajiri, na kusababisha misururu ya magari yaliyokuwa yakisubiri maji yapungue ili yapite.


"Hii leo sio kawaida, heri ya jana, sisi tumekwama tangu saa 10:30 alfajiri na mpaka sasa 1:45 asubuhi hatujui tutaondoka saa ngapi," alisema mmoja wa abiria waliokwama eneo hilo, ambaye alipiga simu ofisi za gazeti hili bila kutaja jina lake.


Vitus Andrew aliyejitambulisha kuwa ni dereva wa gari aina ya Mitsubishi fuso, alisema alifika eneo hilo saa 11.20 alfajiri na kukuta msururu wa magari ukiwa hautembei hivyo kumalazimu kuzima gari na kulala.


“Ndugu yangu, nimefika hapa mapema nikiwa naelekea Tabora, lakini naona safari yangu imeishia hapa kwa leo na kibaya zaidi hakuna kiongozi ama askari yeyote aliyefika kusimamia usalama wa abiria na magari kwani hali ya usalama si nzuri,” alisema Andrew.


Taarifa zilizopatikana baadaye, zilisema magari yalianza kupita kwenye daraja hilo saa 2:20 asubuhi.Daraja la Mbezi Bondeni linalounganisha Mbezi Beach na Mwenge, wilayani Kinondoni limekatika upande mmoja kutokana na mafuriko hivyo kufanya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kikosi cha Lugalo kuweka kambi maalumu kwa ajili ya kulinda usalama.


Hatua hiyo imesababisha wananchi wanaotoka Mbezi kuelekea Mwenge, kushindwa kutumia magari na kulazimika kuvuka kwa miguu kutokana na magari yote kuzuiwa kupita eneo hilo.


Daraja lililopo Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) lilijaa maji hivyo kulazimisha uongozi wa jeshi kuzuia magari yasipite kwa muda.


Chanzo: Gazeti la Mwananchi

Matumaini ya kuwatenganisha mabinti walioungana kichwani

CONJOINED twins who have never looked each other in the eye have been given a glimmer of hope they may one day be separated.


Doctors tried and failed to separate sisters Tatiana and Anastasia Dogaru, who are joined at the head, in a gruelling ten-hour op in 2007, at the age of three.


Now four years later signs suggest the seven-year-old sisters — known as Tati and Ana — are reaching a point where a separation might be possible.


Their family have been told the girls' blood pressure is finally stable enough again to reattempt the procedure.


In a scientific mystery, Ana's blood pressure has been low, while Tati's was high.


Now a team of specialists in Chicago are looking at new ways of performing the miracle.


With no advances in techniques to separate them safely, the family's greatest hope is that someone will make a breakthrough, which will ensure they can survive the op.


But the family know the longer it takes the more complicated a separation will become as the girls become more fused.


And with conjoined twins rarely living past the age of 11, their parents have been left with an agonising life or death decision — to go ahead with the risky op or to hope that the girls will live until a way to safely separate them is found.


Mum Claudia, a nurse, from Chicago, says they will wait.

The 35-year-old said: "Since the girls were born we've dreamed of giving them lives apart.


"But we can only do it if doctors find a way that will give them a reasonable chance of surviving the op.

"We have a new glimmer of hope but still need someone to come to us with a proposal we can accept.


"There's a level of risk with any surgery to anyone and we accept that. But we need survival odds like that to go forward.


"Remaining together, we just don't know how long they have. Many don't make it past 11."

Monday, December 19, 2011

Kim Kardashian apata tuzo ya tabia mbaya

The National League of Junior Cotillions named Kate Middleton was the best mannered celebrity in the world in 2011.


Kim Kardashian was named the most ill-mannered celebrity of the year. Surprising? I don’t think so.


Since Kim has recently been through a divorce. According to NLJC national director Elizabeth Anne Winters, The ranks are based off of “demonstration of dignity, honor and respect.”


Kate was clearly the top choice because everyone praised her for “the poise and dignity with which she conducts herself in the public spotlight,” Winters said.


Justin Beiber is coming in at number two. (number two is also what his music sounds like, so fair enough.) After that Paula Abdul.


Of course she’s happy, she ALWAYS is. Taylor Swift is number five on the list. All the way at number nine is “Harry Potter’s” Emma Watson.


Kim Kardashian didn’t even make the list. A person of her fame should at least make the list, even if it’s last.


What kind of evil creature is she to be named “The Most Ill-Mannered Person” of 2011?

Aki alivyopata jiko

Friday 9th December 2011 was a landmark day for Nollywood superstar Chinedu “Aki” Ikedieze and his sweetheart, Nneoma Nwaijah as their marriage was blessed and solemnized during a wedding ceremony at the Redeemed Christian Church of God – Abundant Grace parish in Ogba, Lagos.


Just a fortnight ago, the lovebirds celebrated their traditional wedding in Obolo (Isiala Mbano), Imo State.


Chinedu (popularly known as Aki) and Nneoma’s parents alongside their friends including celebrities Peter and Paul Okoye of P-Square, Kingsley Okonkwo and Aki’s best friend – Osita “Paw-Paw” Iheme were all present to mark this special occasion with the happy couple.


After the religious ceremony, the newlyweds proceeded to their reception.

I wish them all the best.


































Picha zote kwa hisani ya www.bellanaija.com

Wenger akata tamaa ya kutwaa ubingwa

ARSENE WENGER last night admitted Arsenal can all but write off their title hopes after losing to leaders Manchester City.


The defeat leaves the Gunners 12 points off the summit and, even though there are still 22 games to go, the Emirates chief knows it is a huge gap.


Wenger said his team could have put themselves right back in the shake-up by beating Roberto Mancini's men.


But instead they have a mountain to climb after David Silva's second-half strike settled a close game.

Wenger said: "At the moment it will be difficult to close the gap on City.


"Unfortunately, it's a game we couldn't afford to lose because it puts us too far behind City.


"If we had won the game it would have put us six points behind and with our full-backs coming back plus Jack Wilshere and Abou Diaby.


"We will have a better squad in the second half of the season.


"We will obviously try but this is a game we couldn't afford to lose and that's why its difficult to take.

"We will continue to fight and there were a lot of positives.

At the moment we need encouragement and points and we have only encouragement."


Wenger insists his Gunners have made huge strides to get back on track after a nightmare start to the season.


And, even though this setback shows they have some way still to go, Wenger is convinced they will get there.


The Frenchman added: "The team has made a lot of progress since August and can be proud of it. The team has a fantastic spirit and we have shown that again here at City.


"Let's hope we can continue our progress and get closer to the top sides.


"Overall we had a positive performance, great spirit and quality. But we lacked a little bit and that's vital in the big games."


Wenger is desperately short in the full-back positions and he had to play four centre-halves across the back.


Even then they were hit by an injury to Johan Djourou but Wenger insisted:


"We had the chances and it's difficult to take. But we can be encouraged by our performance.


"It didn't help to lose Johan and we had to move the whole defence around. We are short on the flanks and every injury at the back is detrimental to our performance.


"Koscielny, Djourou and Vermaelen did remarkably well but the trouble is they are all centre-backs.


"Having said all that, this is a good basis to build from. Both teams played positively and that's why the game was interesting. It was also intense physically.


"I felt we were a bit unlucky and their keeper had a good game.


"I felt at half-time we could win the game if we remained stable at the back. But it was not to be."

Kafulila- Nisameheni jamani, nitakwenda wapi?

Kilio cha kwikwi kilimtoka David Kafulila kuanzia saa 4:48, usiku baada ya mkutano kumvua uanachama.


Mwananchi lilifanikiwa kujipenyeza hadi ndani ya geti la ukumbi na kumkuta Kafulila akilia kwa sauti huku akiwa amepiga magoti na kumshika mmoja wa wajumbe miguuni.


‘’Nisameheni jamani..., naomba mnisamehe jamani nimekosa nitakwenda wapi?,’’ alisikika akilia.


Mbunge huyo alionekana kushindwa kujizuia na kuangua kilio kilicholeta huzuni kwa baadhi ya wajumbe wa mkutano huo ambao baadhi yao walionekana kumwonea huruma


Kutokana na hali hiyo, Mbatia alijaribu kumwombea msamaha kwa wajumbe, lakini walishikilia msimamo wao kwa maelezo kwamba kama Kafulila akisamehewa, wao watarudisha kadi za chama.


Katika wakati fulani Kafulila aliyekuwa amevaa suti nyeusi alikuwa alisimama nje ya mlango wa kuingilia katika ukumbi huo huku akiwa amekunja mikono yake, mfano wa mtu anayemwomba Mwenyezi Mungu


Wajumbe waliokuwa wakitoka katika ukumbi huo walionekana kutomjali na walimpita na kuingia katika magari yao na kuondoka jambo, lililozidi kumwongezea uchungu na kuonekana akizidi kulia mpaka alipokuja kutolewa eneo hilo na Mkuu wa Idara ya Oganaizesheni, Kampeni na Uchaguzi wa chama hicho, Faustine Sungura.


Walimtoa eneo hilo na kumpeleka katika gari lake na kuondoka eneo hilo wakati huo ilikuwa saa 5:37 usiku.Wafuasi wa Kafulila washikwa huzuni


Hayo yakiendelea ndani nje kulikuwa na baadhi ya makada wa chama hicho waliokuwa kundi moja na Kafulila ambao walionekana kuwa na huzuni kubwa baada ya kupata habari hizo.


‘’Wamemfukuza..., wameshakiua chama ndio maana mimi nakuelezeni kila siku hiki sio chama, hakina demokrasia ya kweli, ni bora kwenda CCM tu kuliko hiki chama,’’ alisikika akisema mmoja wa makada hao.


Awali, wakati zikipigwa kura za kutokuwa na imani na Mbatia ulizuka mtafaruku baada ya wajumbe kushangazwa na kitendo cha kuwepo kwa wajumbe zaidi ya 60 wakati mkutano huo huwa na wajumbe wasiozidi 40.


Baadhi ya wajumbe waliibua hoja ya kutaka baadhi ya watu ambao hawafahamiki kujieleza na taratibu zitumike kuwatambua au kutowatambua.


Kutokana na hali hiyo kuibua mgogoro katika kikao hicho Rungwe pamoja na baadhi ya wajumbe walitoka nje ya mkutano huo, wakionyesha kutoridhishwa na maamuzi yaliyotolewa katika upigaji wa kura.


Habari hizo zilieleza kuwa Rungwe pia alijieleza sababu za yeye kuiandikia barua ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini kuiarifu kuwa kikao hicho hakikuwa halali


Awali, wakati mkutano ukiendelea habari za ndani kutoka katika mkutano huo zilieleza kuwa wakati ajenda mbalimbali zikijadiliwa Kafulila aliwasiliana na polisi na kuwaeleza kuwa katika mkutano huo kulikuwa na vurugu.


Mwananchi lilishuhudia polisi tisa wakiwa katika gari aina ya Landcruser wakifika katika Ukumbi huo saa 6:05 mchana na kuingia ndani ya ukumbi, ambao walielezwa hakukuwa na vurugu yoyote na wakatoka nje na kuondoka.


Ilipofika saa 6:45 polisi hao walirudi tena na kueleza kwamba, walipigiwa simu nyingine kwamba katika mkutano huo hali si shwari na safari hii walimhoji dereva wa Kafulila, Denis Kalikisha.


Wakati huo huo, chama hicho kimeomba kukutana na Rais Jakaya Kikwete kwa nia ya kutoa mawazo yake kuhusu mchakato wa kutungwa kwa Katibu Mpya ya Tanzania, kama ilivyoahidiwa kwa wananchi na mkuu huyo wa nchi.


Kafulila aliwahi kupinga kukutana na Rais Ikulu kwa madai suala zima la mchakato wa Katiba Mpya umekiukwa.


Lakini, taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu jana ilisema Rais sasa amekubali ombi hilo la NCCR-Mageuzi.Mbali ya NCCR, Rais pia amekubali kukutana na Baraza la Taifa la Taasisi Zisizokuwa za Kiserikali (NGO’s), ambalo limeomba kukutana na kuzungumza nye.


Chanzo: Gazeti la Mwananchi

Kafulila alivyosulubiwa NCCR- Mageuzi

DAVID Kafulila Mbunge kijana kutoka Jimbo la Kigoma Kusini juzi aliingia kwenye ukumbi wa mkutano akiwa na nguvu na matumaini ya kumsimamisha uongozi mwenyekiti wa chama chake cha NCCR Mageuzi, James Mbatia, lakini mwisho, upepo ulivuma vibaya kuelekea upande wake na hatimaye akajikuta anasulubiwa na kisha kuvuliwa uanachama.


Kafulila ambaye alitokea Chadema na kujiunga NCCR- Mageuzi mwishoni mwa mwaka juzi na mwaka jana akafanikiwa kuingia bungeni baada ya kumwaga mgombea wa CCM, Kifu Gullamhussein , ni mwanasiasa kijana ambaye alianza kung’ara katika medani za siasa nchini kutokana na kusimamia hoja zenye maslahi ya umma kama Katiba Mpya, kupinga nyongeza ya posho za wabunge na kutaka wale ambao walisababisha hadi Dowans kupata tuzo ya zaidi ya Sh100 kuchukuliwa hatua.


Safari ya kumshughulikia Kafulila ilianzia Desemba 8 mwaka huu baada ya kuvuliwa wadhifa wa Katibu Mwenezi wa chama hicho na juzi, ilihitimishwa katika Ukumbi wa Proin ambako mkutano wa Halmashauri Kuu (NEC) ya chama hicho ulifanyika kuanzia saa mbili asubuhi hadi karibu saa tano usiku.


Gazeti hili liliwashuhudia wajumbe 64 wa mkutano huo wakifika katika ukumbi huo huku wakionekana kuwa na shauku ya kutaka kujua hatma ya chama hicho baada ya kuibuka kwa mvutano baina ya Kafulila, Mwenyekiti wa chama hicho, James Mbatia na Katibu wake Samwel Ruhuza.


Kafulila alifika katika ukumbi huo saa 2:00 asubuhi akiwa kwenye gari yake aina ya Toyota Altezza na moja kwa moja aliingia ndani baada ya mabaunsa zaidi ya 10 waliokuwa katika geti la kuingilia kumruhusu.


Mkutano huo ulianza rasmi mnamo saa 3:00 huku ukiongozwa na Dk Sengondo Mvungi, akisaidiwa na Ruhuza na Makamu mwenyekiti wa chama hicho Zanzibar, Haji Ambari Khamis.


Katika mkutano huo, Mbatia alikuwa mmoja wa watuhumiwa ambao alipaswa kujibu tuhuma zake za kukifanya chama kama CCM B huku Kafulila akituhumiwa kuvujisha siri za chama nje ya utaratibu wa vikao. Moja ya tuhuma za Kafulila ni kueleza vyombo vya habari kwamba ameondolewa katika nafasi ya uenezi.


Lakini, hali ya mambo katika chumba cha mikutano ilianza kuvurugika ilipofika saa 8:00 mchana wakati wa kupigakura ya za kutokuwa na imani na Mbatia baadhi ya wajumbe walitoka nje ya ukumbi kwa maelezo kuwa baadhi ya wapiga kura hawakuwa wajumbe halali wa mkutano huo.


Habari hizo zilieleza kwamba, waliotoka nje walikuwa saba huku wakiongozwa na aliyekuwa mgombea urais wa chama hicho katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka jana na Mjumbe wa Baraza la Wadhamini la chama hicho, Hashim Rungwe.


Kwa mujibu wa vyanzo hivyo, baada ya hali kuwa shwari wajumbe hao walipokea na kujadili utetezi wa Mbatia. Tuhuma dhidi ya Mbatia zilitolewa na Kamishna wa chama hicho Mkoa wa Tanga, Mbwana Hassan pamoja na wengine 26 waliosaini hati ya kutokuwa na imani naye kwa madai kuwa ni CCM B.‘’Katika kupiga kura haki haikutendeka, wajumbe tulipiga kura kwa kunyoosha mikono na sio kura ya siri, pamoja na hayo Mbatia alionekana kuwa safi’’ alieleza mmoja wa wajumbe wa NEC wa chama hicho.


Hata hivyo, akizijibu shutuma hizo mbele ya waandishi wa habari jana, Ruhuza alisema kuwa mkutano huo ulitoa maazimio kwamba Mbatia yuko safi, hodari na shujaa wa chama.


‘’Wajumbe wote waliotoa malalamiko walijiondoa na Mbatia akawa safi hiyo ikiwa ni pamoja na hao waliokuwa wakimpinga awali,’’ alisema Ruhuza.


Baada ya kumalizika hoja ya Mbatia na kufanikiwa kuzima kile alichokuwa akikiita uasi dhidi yake, jioni ndipo ilipokuja hoja ya Kafulila.


Zamu hiyo ya Kafulila ilipokuja upepo ulionekana kubadlika ghafla ndipo alipopewa nafasi ya kujitetea kuhusu tuhuma zinazomkabili.


Habari hizo zilieleza kuwa Kafulila alipopewa nafasi ya kujieleza, alisema kama kweli kuna mvutano baina yake na Mbatia kinachotakiwa ni kukutana na kuzungumza chini ya usimamizi wa wazee wenye busara wa chama hicho.Habari hizo zilelieza zaidi kuwa Dk Mvungi wakati akitoa maelezo yake alisema kuwa wajumbe wanatakiwa kutumia busara katika uamuzi yao.


Hata hivyo, hali iliharibika zaidi kwani licha ya utetezi huo wa Kafulila, wanachama ndani ya ukumbi huo baada ya kuanza kupiga kura za kuwafuta uanachama makada wa chama hicho akiwemo Kafulila.


Habari zilieleza kuwa baada ya kuthibitisha upepo unavuma vibaya kwake na hakuna njia ya kutokea, Kafulila alikwenda kumwomba msamaha Mbatia huku akiwa amepiga magoti jambo ambalo liliwakera wajumbe ambao walimwita msaliti.


Lakini, wajumbe walipiga kelele, ‘’Anaigiza huyo muda wote alikuwa wapi?


Hata kujitetea kashindwa na amekuwa akijibu majibu ya mkato sasa ndio anakumbuka kuomba msahama, muongo huyo’’.


Chanzo: Gazeti la Mwananchi

Friday, December 16, 2011

Pengo- Posho za wabunge ni ubinafsi

ASKOFU Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, amezungumzia mambo kadhaa ya kitaifa akisema, ongezeko la posho kwa viongozi wa umma ni ubinafsi na kuonya kama Uchaguzi Mkuu mwaka 2015 utafanyika bila ya kuwako kwa Katiba Mpya, utagubikwa na ghasia.


Pengo alitoa angalizo hilo jijini Dares Salaam jana alipokuwa akitoa ujumbe kwa taifa kuhusu Maadhimisho ya Miaka 50 ya Uhuru, Sikukuu ya Krismasi na Mwaka mpya.


Kuhusu posho, Kadinali Pengo alisema viongozi wa Serikali na umma wakiwamo wabunge, wanapaswa kuacha ubinafsi na badala yake wafanye kazi kwa kuwafikiria zaidi wananchi kuliko maslahi binafsi.


“Sisi Wakristu tunaamini kuwa, Kristu licha ya kuwa alitumwa na Mungu Baba kuja kutukomboa wanadamu alifanyika mwili na kuzaliwa katika hali ya umaskini na ufukara ili atukomboe. Viongozi wa Serikali, dini na watumishi wa umma, inatupaswa kuiga mfano huo,”alisema Pengo.


Aliongeza, “Nasisitiza hili kwa viongozi sababu hivi karibuni kumezuka mzozo kati ya wabunge na wananchi ambao wamejiongeza posho kwa madai maisha kuwa magumu. Viongozi hatupaswi kufikiria marupurupu yetu na maslahi yetu kwanza kabla ya kuwafikiria wananchi tunaowaongoza.”


Hivi karibuni Spika wa Bunge alitangaza kwamba wabunge wameongezewa posho ya vikao kutoka Sh70,000 hadi Sh200,000 kwa siku kutokana na ugumu wa maisha wakiwa Dodoma.


Mbali na posho ya vikao, wabunge hupewa fedha ya kujikimu Sh80,000 na Sh50,000 ya usafiri kwa siku hivyo kuwafanya kupata Sh330,000 kwa siku.


Pengo aliwataka viongozi wa Serikali na umma kuiga mfano wa mwokozi wao, Yesu Kristu aliyesema kuwa, licha ya kuwa na nguvu za Kimungu, alipotumwa na Mungu Baba kwenda duniani kuwakomboa wanadamu, alijishusha na kuzaliwa katika mazingira ya kimasikini na ufukara ili aweze kufanikisha kazi hiyo.


Katiba na siasaAkizungumzia Katiba Mpya, Kardinali Pengo alisema ni chombo muhimu kinachotakiwa kufanya kazi kwa umakini na kuhakikisha inapatikana kabla ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015.Pengo alionya kuwa bila Katiba Mpya, taifa linaweza kuingia matatizoni kwa kuwa katiba ndio inayoelekeza wananchi kuchagua viongozi.


“Tukicheza na Katiba, taifa litaingia matatani. Hivi sasa watu wameshailalamikia Katiba iliyopo kuwa ni mbovu na wakati huo huo Rais anachaguliwa kwa mpangilio ulio kwenye Katiba na anaapa kulinda Katiba na kuitetea,”alisema Pengo na kuongeza:


“Tumeshasema Katiba iliyopo kwa sasa ni mbovu, tuchukulie suala hili “very serious (kwa uzito), tukamilishe kabla ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015, vinginevyo tutaingia matatizoni”.Akizungumzia hali ya kisiasa, alisema hadi sasa Watanzania bado wanajifunza namna ya kuishi ndani ya mfumo wa vyama vingi vya siasa baada ya kutoka ndani ya mfumo wa chama kimoja.


Alisema jibu la kufikia kwenye siasa bora ni, kulifanyia kazi suala la Katiba, ambayo ndio itakayoamua wananchi wanataka kutawaliwa na watu wa namna gani.


“Kwa sasa bado tunaishi ndani ya mawazo na mtazamo wa chama kimoja cha siasa katika mfumo wa vyama vingi vya siasa. Ndio sababu, mawazo ya chama ndio yanayochukuliwa kama mwongozo wa Serikali. Lakini tukiweka mkazo katika Katiba, tunapaswa kutambua tunatengeneza katiba ya nchi na si ya chama kimoja,”alisema Kardinali Pengo.


Sherehe za miaka 50 ya uhuruKuhusu sherehe za miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania Bara, Kardinali Pengo alipongeza hatua tuliyofikia akisema ni nzuri na kutaka furaha hiyo iendelee kubaki miongoni mwa Watanzania.


“Desemba 9 mwaka huu tulikuwa na Maadhimisho ya Miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania Bara. Ujumbe wangu, tuendelee na furaha hiyo, lakini suali la kujiuliza sijui ni wangapi tulifurahia sherehe hiyo? Swali hili pia hata viongozi wanapaswa kujiuliza,”alisema.


Katika ujumbe wake huo, Pengo alisema Uhuru wa kweli hauji kwa kubahatisha bali kwa kufanyakazi.


“Mwalimu Nyerere alisema Uhuru ni Kazi. Sisi tukasema Uhuru na Kazi. Lakini ujumbe unabaki kama ulivyo, nami leo ujumbe wangu kwa Watanzania ni kutambua bila kazi hakuna maendeleo,”alisema Kardinali Pengo.


Chanzo: Gazeti la Mwananchi

Thursday, December 15, 2011

Wanafunzi-Tunajiuza tupate fedha za ada

STRUGGLING students are turning to the seedier side of life to pay their steep education bills.


The National Union of Students say increased living costs and tuition fees are even forcing some youngsters to take up escort work and prostitution.


And from 2012 when universities in England will be allowed to charge up to £9,000 per year in tuition fees, almost triple the current maximum, the pressure on hard-up students will be even greater.


The NUS estimate 20 per cent of women working in lap dancing clubs are students.


And research recently published by the University of Kingston found that the number of college-goers who knew someone who had worked in the sex industry had rocketed up from three per cent ten years ago to 25 per cent.


The NUS claims were backed by pressure group the English Collective of Prostitutes.


They say that the number of calls to their helpline has doubled in the last year.


Sarah Walker represents ECOP, which campaigns for rights for sex workers.


She said: "We have seen an increase year-on-year since the time that the student grants system was axed. There has definitely been a spike again since tuition fee changes were brought in.


"It is anecdotal evidence but we have definitely seen an increase."


And she said as most students kept their work in the porn market under wraps for fear of being expelled from university, the laws needed changing to protect them.


Ms Walker said: "I remember there was a group of women working together as prostitutes who were students and if anything happened to them they were terrified to come forward.


"They were worried that they might get kicked off their course or not be able to get a good job in the future.


"The laws need changing."


An education department spokesman insisted that the Government provide financial help for students struggling to make ends meet.


He said: "If students are really struggling financially, they need to speak directly to their tutors."


Here we meet three students who joined the sex trade to help them pay their way through university.

Kompany- Arsenal wapo vizuri lakini J'pili tunawanyuka

VINCENT KOMPANY has told Arsenal: You're a great team but we can beat great teams.


The Manchester City skipper and his team-mates host Arsene Wenger's side on Sunday.


Kompany is a big fan of the Gunners' style of play but is confident City can beat the in-form Londoners.


The Belgian centre-back, 25, said: "Arsenal are a great team but we can beat great teams.


"On Sunday, we are looking to do what they have done. They have picked themselves up after a difficult month.


"The way they have done that is absolutely incredible. I consider them as a top team, who will make a top game of it.



"But we are a difficult team to beat at home.

"In the big games, even when we didn't win, we still looked like the team that was most likely to."


City suffered their first defeat of the season against Chelsea on Monday night.


But Kompany added: "Monday has made us feel more hungry.


"We want Sunday to come as quickly as possible and to play football again. That is the kind of team we are.


"In those kinds of moments we react and we are eager to do it on Sunday."

Milner- Tuna njaa, tutamalizia hasira zetu kwa Arsenal

JAMES MILNER has warned Arsenal that Manchester City are determined to make up for their Stamford Bridge woe.


City face the Gunners at the Etihad this weekend looking to bounce back from Monday's 2-1 defeat by Chelsea.


The result cut their lead at the top of the table to just two points over Manchester United but England ace Milner believes they will resurrect their winning run on Sunday.


He said: "We are pretty devastated but it adds even more incentive for us to bounce back from this disappointment and put it into a performance at the weekend.


"We will learn what we can from this game and move forward. We have the hunger to go and win again at the weekend."


Defender Pablo Zabaleta admitted the defeat capped a poor week for City after they were dumped out of the Champions League.


But he says the pressure is still on their title rivals to try and catch them.


He said: "We're the leaders with an advantage in the table and that's important. The concerns are for our rivals.

"The week not was positive with the Champions League and the defeat in London but now is the time for a reaction and show we want to be the champions.


"We must focus on the match against Arsenal. It is a chance for us to distance ourselves from another title rival."


The biggest positive in City's match against Chelsea was the way they bossed the Blues in the first 25 minutes and took the lead through Mario Balotelli.


But after that Milner, 25, felt they let Chelsea off the hook — a mistake they will not be making
again.


He added: "We started very well, moving it around and managed to create a few chances. But we took our foot off the gas for whatever reason.


"That gets the crowd up and they managed to ride that wave."


Milner, like boss Roberto Mancini, pointed at David Silva being denied a clear penalty after Jose
Bosingwa's first-half foul. That would have made it 2-0.


Milner added: "David said it was definite. We came in at half-time and the lads have seen it on video. It's obviously a big moment."