Wednesday, August 29, 2012

Maisha yanaendelea

Mkazi wa kitongoji cha Kipamba kata ya Mwangeza ambaye amekataa kutaja jina lake akiwa kwenye nyumba anapoishi na familia yake.  
 Mkazi wa kitongoji cha Kipamba kata ya Mwangeza wilaya ya Iramba ambaye hakuweza kujulikana jina lake akiomba alipwe fedha za kumpiga picha. 

Picha na blog ya Singidayetu

No comments:

Post a Comment