Friday, May 20, 2011

Ronaldo kuuzwa Paundi milioni 150!

Mambo ya Ronaldo uwanjani

Ronaldo na kocha wake, Mourinho


KAMA kinachosemwa ni kweli, dunia itashuhudia jambo la aina yake katika mchezo wa soka na huenda itazua mjadala kuhusu matumizi makubwa ya fedha katika mchezo huo.


Inasemekana kwamba, klabu ya Real Madrid ipo tayari kumuuza Christiano Ronaldo kwa bei ya paundi milioni 150!


Inadaiwa kuwa uwezekano wa Ronaldo kungoka Madrid upo kwa kuwaamekwaruzana na kocha wake, Jose Mourinho.


Hivi sasa nyota huyo Mreno analipwa takribani paundi 200,000 kwa wiki, hivyo anayemtaka huenda atalazimika kutoa mshahara wa Paundi 300,000


Soma hapo chini


Real Madrid are ready to stun the football world by putting Cristiano Ronaldo up for sale for a staggering £150million.


Sportsmail understands a major rift has developed between the star Portuguese forward and Madrid manager Jose Mourinho following a training-ground row, and club president Florentino Perez is reluctantly willing to listen to offers.


Madrid paid a world-record fee of £80m to Manchester United in 2009 and Perez has said he would want to make a significant profit to appease the supporters for the sale of their best player.


Ronaldo, after all, was seen as Madrid’s answer to the dominance of Barcelona.


While there would be numerous suitors for his signature, even top clubs will balk at the astronomical fee and the player’s wages.


At Madrid he commands a salary of 20m euros a year, leaving him with 12m euros net - more than £200,000 a week.


It might take a net weekly wage in excess of £300,000 to prise him away from Spain.


Manchester City, whose Abu Dhabi owners could easily afford the world-record sum demanded, have declared they do not plan a summer transfer splurge, leaving the former United player’s options decidedly limited.


There have been issues between Ronaldo and Mourinho in the past and the relationship between the two seems to have broken down after a disagreement over the former Chelsea boss’s tactics for the Champions League semi-final against Barcelona.

No comments:

Post a Comment