


Inadaiwa kuwa, wawili hao walikuwa na uhusiano wa kimapenzi, wamezaa mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka 14.
Jambo hilo limesababisha Anold atengane na mkewe, Maria Shriver, waliishi pamoja kwa miaka 25. Maria na Star huyo wa Hollywood wana watoto wanne.
Baena alifanya kazi kwa wanandoa hao kwa miaka 20.
No comments:
Post a Comment