Tuesday, March 22, 2011

Miss Ireland atetea penzi lake kwa Mnaijeria


MISS Ireland, Emma Waldron (21), amejikuta matatani kwa sababu tu kampenda kijana mweusi Mnaijeria!
Kuna watu wamemshutumu kwa kuwa yupo kwenye penzi na kijana mweusi, Manners Oshafi, lakini yeye kasema hajali, wanasonga mbele.
Mrembo huyo aliyekuwa namba 4 katika shindano la dunia kasema, Binadamu ni Binadamu tu, hivyo jambo la msingi ni urafiki na upendo moyoni na si rangi, asili, historia, au uraia wa mtu.
Binti huyo kasema, anampenda sana huyo black, ndiyo kila kitu kwake, hivyo hakuna anayeweza kuwatenganisha.
Soma zaidi
Emma, 21, has been the victim of a vicious internet campaign because of her relationship with a black man and was forced to report an online poster targeting her with hateful and abusive racist comments.

The beauty (21), who came fourth in Miss World, found herself at the centre of a racism row when an online tormentor branded her “disgusting” for being in a relationship with a black man.

Emma explained her shock at the attack, and encouraged Irish people to become more open minded, describing her relationship with her boyfriend as “beautiful”.

Speaking exclusively to the Herald, she said: “I don’t wish to talk in too much length about the issue as there are feelings involved and I don’t want to hurt anyone’s feelings by making an issue out of this.

“There is only one race, the human race. What matters in friendship and love is the heart and soul of the person you have a relationship with, not their colour, nationality, creed or background.

“I love my boyfriend with every cell in my body and nothing anyone says will change that.

“It upsets me that people have negative things to say about a love and friendship that is so beautiful.

“I love my boyfriend and nothing like this will ever affect us because we have love and that’s all we need. We don’t need others approval.”

No comments:

Post a Comment