Friday, June 5, 2009

Maji kukatika Dar es Salaam kesho

WAKAZI wengi wa Dar es Salaam na Bagamoyo kesho watakosa huduma ya maji ya bomba kwa saa 12.
Kampuni ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam(DAWASCO) kesho itazima mtambo wa Ruvu Chini kuanzia saa 12 asubuhi hadi saa 12 jioni.
Kwa mujibu wa Dawasco, huduma ya maji itakuwa kama kawaida kuanzia Jumapili asubuhi.

No comments:

Post a Comment