Saturday, June 6, 2009

Mabomu 11 yalipuliwa Mbagala

WAHANDISI wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ) wamemaliza kazi ya kulipua mabomu 11 katika kambi ya jeshi hilo iliyopo Mbagala Kuu, katika wilaya ya Temeke mkoani Dar es Salaam.
kazi hiyo ilianza saa nne asubuhu, iliisha saa 5.30, wakazi wengi wa Mbagala wameyahama kwa muda makazi yao
Watu 17 wamelazwa katika hospitali ya Temeke kwa sababu ya mshituko.

No comments:

Post a Comment