Saturday, June 6, 2009

Kumekucha wazazi CCM

MCHAKATO wa kumpata Mwenyekiti mpya wa jumuiya ya wazazi ya Chama cha Mapinduzi unaendelea katika ukumbi wa Kilimani uliopo Uzunguni mjini Dodoma.
Wagombea watatu wanachuana kuwania wadhifa huo akiwamo Esther Nyawazwa, Athumani Mhina, na Abdallah Bulembo.
Saa chache zilizopita, Mwenyekiti wa CMM, Rais Jakaya Kikwete alifungua mkutano na kuwataka wagombea wazingatie maadili ya chama hicho tawala.

No comments:

Post a Comment