Friday, April 24, 2009

Polisi inawasaka ze utamu

MAKAO makuu ya Polisi yanafanya uchunguzi ili kuwabaini na kuwachukulia hatua wanaoendesha tovuti ya zeutamu.com kwa madai kuwa umekuwa ukitumika visivyo.

Kaimu Mkurugenzi wa Upelelezi Makosa ya Jinai (DCI) Peter Kivuyo, alisema jana kuwa polisi wanazifanyia kazi taarifa kwamba tovuti hiyo imetoa picha inayomdhalilisha Rais Kikwete.

No comments:

Post a Comment