Friday, April 24, 2009

Mke wa Ashley Cole yupo juu

Mlinzi wa Chelsea na Timu taifa ya Uingereza, Ashley Cole






Britney Spears



Cheryl na mwenzake walipowasili Uingereza wakitoka Tanzania Machi mwaka huu




Cherly na wenzake walipofika Uingereza wakitoka Tanzania


MKE wa Mlinzi wa Matajiri wa London, Chelsea ya Uingereza, Ashely Cole, Cheryl, ametajwa kuwa ni mwanamke mwenye MVUTO zaidi wa kimapenzi mwaka 2009.

Kimwana huyo amewabwaga mastaa kibao, Britney Spears amekuwa wa nne.

Cheryl na wasanii wenzake wa kundi la muziki la Girl Aloud walikuja Tanzania machi mwaka huu kupanda Mlima Kilimanjaro.

Angalia orodha 10 bora wenye mvuto wa kimapenzi, kwenye mabano ni nafasi zao mwaka jana.
FHM's 100 Sexiest supplement, featuring 52 pages of 'the hottest women in the world', comes free
with the June edition of FHM, on sale now. Here is the FHM 100 Sexiest Women 2009 top 10

1. Cheryl Cole (7)

2. Megan Fox (1)

3. Jessica Alba (2)
4. Britney Spears (31)

5. Keeley Hazell (3)

6. Adriana Lima (21)

7. Elisha Cuthbert (4)

8. Kristin Kreuk (48)
9. Anna Friel (re-entry)

10. Freida Pinto (new entry)

No comments:

Post a Comment