Thursday, April 23, 2009

Madiba alipompiga tafu Jacob Zuma


Mzee Mandela akipanda kwenye jukwaa huku akisaidiwa na Jacob Zuma na Winnie Mandela.

Mandela akimtazama Zuma akiselebuka

Mikakati ya mwisho mwisho

Dah, Mzee Mandela akisalimiana na mkewe wa zamani Winnie.

Ilikuwa ni Aprili 19, siku ya mwisho ya kampeni za ANC kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Afrika Kusini.
Mamilioni ya wananchi wa huko jana walipigia kura, hadi sasa ANC kinaongoza.

No comments:

Post a Comment