Wednesday, April 29, 2009

Mabomu yaua Dar es Salaam


WATU wawili wamekufa, zaidi ya watu 100 wamejeruhiwa baada ya mabomu kukipuka katika kambi ya Jeshi Mbagala, wilayani Temeke.



Taarifa za habari za vyombo vya habari zimetangaza idadi hiyo ya waliokufa wakiwamo watoto.



Huenda idadi ya vifo itaongezeka kwa kuwa hali za baadhi ya majeruhi ni mbaya hivyo imebidi walazwe Katika Hospitali ya Taifa, Muhimbili.




Majeruhi wengi wamelazwa katika hospitali ya Temeke

No comments:

Post a Comment