Friday, April 17, 2009

Lady Jay Dee hataki House Girl



MMOJA wa magwiji wa bongo flava, Judith Wambura a.k.a Lady Jay Dee hana msichana wa kazi nyumbani kwake( House Girl) na hamhitaji kwa kuwa anaogopa kusalitiwa.

Binti Machozi amesema leo kuwa, anazimudu kazi zote za nyumbani kwake ukiwamo usafi wa nyumba na kufua hivyo hana sababu za kuwa na House Girl.

Mama Some Food amesema kuwa, hana rafiki wa karibu, ana washikaji tu, na kwamba, best friend wake ni mama yake mzazi.

Jide ni mke wa mtangazaji wa Clouds FM, Gadner G Habash, anamiliki bendi ya muziki iitwayo Machozi iliyoanzishwa mwaka 2005.

Comando ameyasema hayo wakati akizungumza katika kipindi cha Leo Tena kinachorushwa kuanzia saa 3 asubuhi hadi 7 mchana Clouds FM.

36 comments:

  1. he mumeo humuamini?duu mbona umemshusha hadhi kiasi hichooooo.

    ReplyDelete
  2. MMh hajapata shida huyo!mwache akija pata mtoto na mazingira yake ya Music atatembea nae?kazi ipo nakupa pole sana

    ReplyDelete
  3. kweli hata mm sijui,lakini lazima umwamini mumeo,je kam ukiwa haupo kwa muda mrefu inakuje?.Mapenzi hasa ndoa ni kuaminiana na kuheshimiana...take note.

    ReplyDelete
  4. HUJIAMINI DADA,NI KASORO KUBWA SANA HASA KWA MWANAMKE ALIYE MKE

    ReplyDelete
  5. DADA MPANGO MZIMA NI KWA WENYE UWEZO KUTOA AJIRA KWA WENGINE,HIVYO BASI TOA AJIRA KWA WENGINE UBARIKIWE ZAIDI,KAMA HUTAKI MSICHANA TAFUTA MVULANA.

    BI MKUBWA KIGAMBONI

    ReplyDelete
  6. hayo ni maamuzi ya mtu na hisia za mtu,mawazo yake na utaratibu wake..na chochote mtakachosema hakitabadilisha mtazamo wake,yatakayozidi ni majungu na kukosa kazi na kushupalia mienendo ya watu....si jambo la kushauri...let it go.

    ReplyDelete
  7. Mi naona kila mtu anajua namna anavyopangilia maisha yake,kuwa na house girl siyo lazima kwani siyo kila nyumba kuna house girl na maisha ya naendelea ni swala la mpangilio tu ukiona ww huwezi wenzako wanaweza,koomandoooooo mi nakupa salute endelea kukaza dada.

    ReplyDelete
  8. guys stop hatin let ha be..if she doent wnt a house maid nyie ina watouch nni ssa...its doent mean tht he doent trust tha husband o anything if she can do everything y bother have some1 else to help..ndio nyie ambao kila kitu mpaka ur maid afanye..gulfrnd u do ur own thng..and proud of it..dat shows hw a really woman is..sio kila kitu maid wen tha tym comes u nid ha u il gt ha bt as fr nw live ur life..be blind to dem HATERS....

    ReplyDelete
  9. Mwacheni jamani ni msimamo wake katika maisha yake, kila mtu anawaza vile anavyowaza huwezi kumlazimisha mtu kufanya kitu ambacho hawezi kukifanya. big up mamy

    ReplyDelete
  10. Mtu hapangiwi maisha, na jide hajasema kuwa hamuamini mumewe eleweni topic watanganyika, muache majungu, fanyeni kazi watanzania.

    ReplyDelete
  11. hatak house girl alisema yeye au basi tu?na kama alisema aliwaambia watu au basi tu?wacheni watu na maisha yao...fanyeni yenu

    ReplyDelete
  12. jide kulingana na imani za kiisilamu, pepo ya mke iko migguni mwa mumewe, ungekuwa mwanamke wa kiisilamu haki ya mungu pepo would have been yours coz umetekeleza wajibu achana na hao wanaochonga, stick to that babes, coz you are keeping it real!

    ReplyDelete
  13. jide hata wasikusumbue hao wanaozungumza hivyo ukienda majumbani kwao utakutata wana msichana wa ndani lkn nyumba imejaa mavumbi kibao,sasa angalia mateso atakayo mpa huyo housegirl chakula kikiandaliwa haruhusiwi kukaa mezani na kula pamoja .washibe kwanza then housegirl aondoe vyombomezani akale jikoni maisha gani hayo.

    ReplyDelete
  14. Wanga ndo wanammind.endelea mama its ok with me anyway

    ReplyDelete
  15. yupo sawa,wafanyakazi wa nyumbani wa kike nao hutafuta waume,ukimuweka kwako iko siku atmlisha mumeo tunda la dhambi.Jide nakufagilia ile mbaya kwa msimamo wako.mungu kakupa nguvu na viungo vyote,achana na wachawi,wagombanishi.

    Ayub

    ReplyDelete
  16. lady JD fanya hivyohivyo swala la mtoto ni hapo akija. watu wanasema tu. 90% ya wanaume wanatembea na mahouse girl na nina uhakika hata waliochangia hapa kuna baadhi wameshatendwa na hao mahouse girl. Bibi hata mimi mwenyewe HG nimemuweka sababu ya mtoto. na kwa taarifa yako cku hizi maHG wanafanya kutumwa na wazazi wao. NANUKUU Ukiona baba anapesa wewe kula nae. leo unaniambia eti hujiamini.
    kuna wawanawake wanajiamini na ni wazuri wamekamilika kila idala mpaka bed tenis lakini wanaume wao ni chovyachovya. basi angekuwa anachovya kimoja lakini HG yumo , wanafunzi yeye, baamed yeye sasa waote hao wana kasoro. bibi we endelea na maisha yako. na endelea kuwa na washikaji hivyohivyo. rafiki unafiki mtupu.

    ReplyDelete
  17. Nakupa hongera, kwanza kwa binti kama wewe mwenye jina na nafasi yako ungependa kuwa na msichana wa kazi lakini uliposema tu hutaki msichana, hongera sana. Mume wakati wote hupenda mke afanye kazi yeye kama kupika, kufua na kazi zote za nyumbani huwa wanafurahi sana na kupeleka sifa kwa rafiki pasipo wewe kujua na hata mapenzi hayatokwisha ndani, endelea na msimamo wako nimekupenda endeleza hivyo, achana na mtazamo wa watu. NAKUPENDA JD kati ya wasanii wote tz namba 1, upo ndani ya moyo UPO JUU.

    ReplyDelete
  18. Duh, thatz terrible. Kwanini uogope kuwa na msichana wa kazi. Kwa kuwa waogopa kusalitiwa au kwa kuwa kazi zote waziweza? Kwa nini humuamini Gadner au alikupata katika mazingira tata. Toa shavu dada ubarikiwe zaidi, Kobossa hapa wa UDSM...

    ReplyDelete
  19. thts ur life jd lv it

    ReplyDelete
  20. Hongera sana kwa msimamo thabit JD, Me naona unampenda kidhati mumeo tu, na ndivyo inavyotakiwa, pili wivu unahusika kwenye mapenzi ya kweli, tatu zidi kumtunza mumeo apendeze waigao wasiweze, mwisho hao wote wenye wafanya kazi wa ndani wanakasoro, unajua nini?? WAVIVU.YOU ARE DIVA MY DEAR.

    ReplyDelete
  21. safi sana Jide wewe ndo mke mama, achana na wanga wasoelewa lolote! Big up

    ReplyDelete
  22. kila m2 anao msimamo wake katika maisha, hivyo iyo ni life style yako dada, achana na wanga, songa mbele.

    ReplyDelete
  23. salute commandoo,watungie wimbo hao wanaotaka maisha ya wengine yawe kama wanavyofikiri au wanavyotaka wao

    ReplyDelete
  24. nakupenda sana dada angu yan mpaka nataman kuwa kama wewe, ucckze ya wa2 kila m2 na maisha yake na kutokuwa na house gal co kwamba humuamini mumeo bt ni juc kuamua,ikiwa ni mwanamke mwnye nguv ni lazima ufanye shughuli zote za ndani ww mwnyw m cjaolewa bt wrv hata ctahtaj HG labda 2 kwa ajili ya mtoto bt kaz nyngne zote ntafanya mwnyw,

    kaza buti dada angu walimwengu ndo walivo kimcng songa mbele n hope Mungu yu pa1 nawe,kaz njema dada

    ReplyDelete
  25. Nakuunga mkono asilimia zote Komando, wanaume ni wapuuzi wa mwisho kwa kutusaliti na wasichana wa kazi. yaani mimi sina hamu nao

    ReplyDelete
  26. Υou аre so сoоl! I don't suppose I'ѵе tгuly rеad through а ѕinglе thing lіke this bеfοгe.
    So nice to find ѕomeboԁy ωith origіnal thοughts on thiѕ iѕsuе.
    Ѕeriouѕly.. thаnκ you for startіng this uρ.
    Τhіѕ website is one thing thаt is гequirеd оn the web, someone with а bit оf oгiginality!
    My web page - iphone 2 fix

    ReplyDelete
  27. Thіs site truly hаs аll the info I wantеd аbout this subject
    and didn't know who to ask.

    Here is my page :: Iphone Repair Pj
    Also visit my web-site ... iphone repair malaysia

    ReplyDelete
  28. Prеtty! Τhis haѕ been an іncrediblу wonderful articlе.
    Thank yоu foг supрlying these details.
    Here is my homepage - fix iphone

    ReplyDelete
  29. I cant force u 2 do so, my sister but mwamini sana gadna coz ni mume wako, ok my sister? Its yuso from arusha!

    ReplyDelete
  30. Awesome! Its genuinely awesome article, I have got much clear idea
    concerning from this article.

    My weblog :: seo consultant

    ReplyDelete
  31. Sweet blog! I founԁ it whіle searching on Yahoo News.
    Do you haѵе any suggeѕtіοns on how to get lіsteԁ іn Yahoo News?

    I've been trying for a while but I never seem to get there! Thank you

    Also visit my web-site ... iphone repair kuala lumpur

    ReplyDelete
  32. Askіng questions аrе genuinelу рleаsant thing if you are not undеrstanding something
    entirely, but this article proνіԁеѕ pleasant undеrstаnԁing eνen.


    Look into my ωebsitе ... ipad repair

    ReplyDelete
  33. Hello excеllent ωebsite! Dоеs running a blog similar
    to this requirе a grеat deаl of woгk?
    I've virtually no expertise in programming however I had been hoping to start my own blog soon. Anyway, if you have any suggestions or techniques for new blog owners please share. I know this is off subject however I simply had to ask. Thanks!

    Check out my web site: ipad repair penang

    ReplyDelete
  34. Writе moгe, thats all I have tο ѕaу.
    Liteгаlly, it seemѕ аѕ thоugh yоu relieԁ on the viԁеo
    to make your pοint. Υοu definіtеly know
    whаt yourе talking abоut, whу
    waste your intelligenсе on just pоsting viԁeos to your ѕite whеn yоu could be givіng
    us somethіng enlightenіng to гeаd?


    My weblog ... macbook repair malaysia

    ReplyDelete
  35. I am rеally impressed wіth your writing skills аs ωell аs wіth the layout оn уοur blog.
    Is thіs a pаid thеmе or did yоu modify
    it yoursеlf? Anywaу kееp up
    the nice qualitу writіng, it's rare to see a nice blog like this one today.

    Here is my site: ipad 2 screen repair damansara

    ReplyDelete
  36. I have read so many articles or reѵіews about thе bloggеr lovers except this
    artісle is genuinely a nice article,
    keep іt up.

    Also visit my homepage; iphone Screen repair malaysia

    ReplyDelete