Saturday, October 11, 2014

'Walimu ni waelewa sana'

“Kama tunawaamini walimu … itakuwa maajabu na mapungufu makubwa kudhani kuwa hawana haja ya kushiriki katika kuzungumzia maslahi yao. Walimu ni waelewa sana na wakishirikishwa hawana matatizo makubwa katika kujadiliana namna ya kutoka kwenye tatizo au angalau kupunguza makali ya tatizo au matatizo husika. Kuna matatizo mengine utatuzi wake ni mgumu lakini mengi yanayokera zaidi yana uvumbuzi unaowezekana,” 

Waziri Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye

No comments:

Post a Comment