“ Msimamo wa Ukawa ni kuwa wajumbe wanaotoka Ukawa kutoshiriki vikao
vya Bunge au kamati mpaka hapo tutakaporidhiana, na mpaka sasa hilo
halijafanyika.
Kutoa maelekezo ni jambo moja na kutekeleza ni
jambo jingine, hivyo mjumbe atakayeshiriki vikao vya Bunge au Kamati,
atakuwa ameshindwa kutekeleza agizo la chama, hivyo litakuwa ni suala la
chama na atashughulikiwa kwa taratibu za chama,”
Mwenyekiti Chadema, Freeman Mbowe
No comments:
Post a Comment