“Bunge Maalumu la Katiba limeundwa kwa mujibu wa sheria, ambayo sote
tulishiriki kuiandaa, ambayo inasema kutakuwa na makundi matatu, ambayo
ni wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, wajumbe wa Baraza la
Wawakilishi na wateule 201 wa Rais kutoka makundi mbalimbali ya kijamii.
“Hivyo mimi ni Mbunge wa Mpanda Kati, naingia kwa mujibu wa
Katiba, nina haki kisheria kuwakilisha wananchi wangu, vyama visitake
kupora mamlaka ya wananchi waliotutuma,”
Mbunge wa Mpanda Kati, Said Arfi.
No comments:
Post a Comment