Saturday, June 14, 2014

Mwakilishi hataki kupapaswa uwanjani

“Mheshimiwa Spika tunaitaka Wizara ya Mawasiliano na Miundombinu kutafuta vifaa vya kisasa vya kufanya ukaguzi wa abiria na mizigo na kuacha tabia ya kutupapasa mwilini...hii si tabia nzuri hata kidogo,”

Mwanajuma Faki Mdachi, Mwakilishi wa Viti Maalumu kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF).

No comments:

Post a Comment