Kwa mujibu wa Mbunge huyo sherehe ya harusi itafanyika katika viwanja vya Usa-River Academy jirani na Hotel ya Ngurdoto.
Nassari amealika watu wote wakiwemo wananchi katika jimbo la Arumeru Mashariki na hawatatakiwa kuwa na kadi.
"Nichukue tena fursa hii kuwakaribisha ndg, marafiki, Jamaa na zaidi sana wananchi wangu wa jimbo la Arumeru Mashariki kwenye tendo hadhimu la kusherekea harusi yangu , Jumamosi Juni 7, Usa-River academy grounds kuanzia saa saba mchana. Kwa Pamoja Tulianza na Mungu, Tutamaliza na Mungu Pamoja. ...No cards on entrance!" alisema Nassari.
Chanzo: mwanahabarihuru
No comments:
Post a Comment