Thursday, June 12, 2014
Mabomu Mwanza
Jeshi la Polisi Jijini Mwanza jana June 11, 2014,asubuhi walitumia mabomu ya machozi kuwatawanya wafanyabiashara wadogo maarufu kama machinga waliokuwa wakipinga kuondolewa katika eneo la Kempu na eneo la soko la Makoroboi jijini Mwanza.
Picha zote kwa hisani ya blog ya
mwanawamakonda
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment