Thursday, March 13, 2014

Mbwembwe fomu za Makamu wa Sitta

Mgombea wa Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samia Suluhu Hassan
 Mgombea wa Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Amina Abdallah Amour.
 Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wakimsindikiza Samia Suluhu Hassan kurudisha fomu.

Katibu wa Bunge, Dk. Thomas Kashililah akipokea fomu ya ugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba,

 
 Mgombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Amina Abdallah Amour akisindikizwa kurudisha fomu.

Picha zote kwa hisani ya blog ya DJ Sek

No comments:

Post a Comment