Waziri
wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu ) Ndugu Stephen Wassira
akitoka nje ya ukumbi wa White House baada ya kumaliza kuhojiwa mjini Dodoma.
Waziri
wa Nchi
Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu ) Stephen Wassira akizungumza
na waandishi wa Habari baada ya kumaliza kuhojiwa na Kamati Ndogo
ya Maadili ya Chama Cha Mapinduzi.
Waziri
wa Nchi
Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu ) Stephen Wassira akifurahia
jambo na kada maarufu wa CCM, Adam Soud
Naibu
Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia January Makamba
akizungumza na waandishi wa habari nje ya ukumbi wa White House baada ya kuhojiwa.
Naibu Waziri wa Mawasiliano ,Sayansi na Teknolojia January Makamba akiondoka kwenye Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi mara baada ya kuhojiwa.
Naibu Waziri wa Mawasiliano ,Sayansi na Teknolojia January Makamba akiondoka kwenye Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi mara baada ya kuhojiwa.
Picha zote na blog za mikoa
No comments:
Post a Comment