Tuesday, August 27, 2013

Nukuu ya leo- 'Housegirl anastahili kulipwa 80,000/- kwa mwezi'


“Kwa mujibu wa sheria hiyo, wafanyakazi wa ndani walioajiriwa na watu wasio wafanyakazi wa serikali na ambao hawaishi na waajiri wao kwa saa atalipwa Sh 410, kwa siku Sh 3,077, kwa wiki Sh 18, 463, kwa nusu mwezi Sh  36,925 na kwa mwezi mfanyakazi wa nyumbani anastahili kulipwa Sh 80,000”.
Mwakilishi wa Ofisa Kazi Mkoa wa Mwanza, Mohamedi Majaliwa.

No comments:

Post a Comment