![]() |
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mara Absalom Mwakyoma |
Mwanaume aitwaye Yusuph Bakari (28) mkazi wa kata ya Kigera Manispaa ya Musoma
amenajisi kuku jike na kumsababishia 'maumivu makali'
Akizungumzia
tukio hilo, Mamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mara Kamishina Msaidizi Absalom Mwakyoma amewaambia waandishi wa habari kuwa Aprili 24 saa tatu
asubuhi Bakari 'alifanya mapenzi' na kuku jike
na kuumuumiza.
Kuku huyo ni mali ya bibi Nyamera Kitambara (76).
Mwakyoma
amesema, bibi huyo kushuhudia kuku wake akinajisiwa, kwa kuwa hakuwa na uwezo wa kumkamata kijana huyo, alipiga kelele, wananchi wakaenda na kumkamata Bakari na kumfikisha katika
kituo kidogo cha polisi Kigera .
No comments:
Post a Comment