Mbunge wa Mbeya Mjini
Joseph Mbilinyi akichangia hoja bungeni.
Joseph Mbilinyi akichangia hoja bungeni.
Mbunge wa Ilala, Mussa Azzan Zungu (kushoto) na Mbunge wa Mafia
Abdulkarim Shah wakibadilishana
mawazo ndani ya ukumbi wa Bunge mjini Dodoma.
Abdulkarim Shah wakibadilishana
mawazo ndani ya ukumbi wa Bunge mjini Dodoma.
Mbunge wa Peramiho Jenista Mhagama akichangia kuunga mkono hoja
ya Mbunge wa Nzega Dkt Hamis Kigwangala ya kuitaka Serikali
ianzishe mpango maalumu wa kukuza ajira kwa vijana kwa kuanzisha Mfuko wa
Mikopo ya Vijana.
PICHA ZOTE NA MWANAKOMBO JUMAA- MAELEZO.
ya Mbunge wa Nzega Dkt Hamis Kigwangala ya kuitaka Serikali
ianzishe mpango maalumu wa kukuza ajira kwa vijana kwa kuanzisha Mfuko wa
Mikopo ya Vijana.
PICHA ZOTE NA MWANAKOMBO JUMAA- MAELEZO.
No comments:
Post a Comment