Mbunge wa
Ubungo John Mnyika akiteta jambo na Katibu Mkuu wa Chadema Dk. Willbroad
Slaa (kulia) wakati wa Kikao cha dharura cha Baraza Kuu la Chadema
kilichofanyika jijini Dar es Salaam, leo. (Picha na Habari Mseto Blog)
Mbunge
Kigoma, Kabwe Zitto akiwasikiliza kwa makini wajumbe wa kikao cha
dharura cha Baraza Kuu la Chadema kutoka mkoa wa Mtwara.
Mbunge wa Ubungo, John Mnyika akiwa amepozi na baadhi ya wajumbe.
Kazi imeanza
Muasisi wa Chadema, Edwin Mtei akiingia katika ukumbi wa mkutano huku akifuatana na Mwenyekiti wa Chadema, Freema Mbowe.
Wajumbe wa mkutano.
Katibu Mkuu Dk. Willbroad Slaa akizungumza katika mkutano huo.
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akifungua mkutano huo
Wajumbe wa Kamati Kuu.
Picha zote na Habari Mseto Blog
No comments:
Post a Comment