Saturday, December 8, 2012

Trafiki wadaiwa kusababisha ajali, kumkimbia majeruhi


Kwa mujibu wa walioshuhudia ajali hiyo, huyo jamaa ambae jina lake halikupatikana alikuwa anaendesha pikipiki, askari Polisi ya kikosi cha Usalama Barabarani  wanaoendesha pikipiki wakamsukuma, jamaa baada ya kuangushwa trafiki hao mmoja alikuja kumuangalia alipoona jamaa analalamika kwa maumivu akaamua kutimka.






Mwenzake kuona mambo magumu kaamua kugeuza pikipiki yao ili watimke

Jamaa huyoo anaondoka

Majeruhi anasaidiwa na wasamaria wema kumpeleka hospitali


Kwa hisani ya blog ya Mbeya Yetu

No comments:

Post a Comment