Saturday, December 8, 2012

Lori lagonga Hiece 2, watu wawili wamekufa


Basi dogo la abiri aina ya Toyota Hiece baada ya kugongwa na lori kwenye kituo cha njia panda itende jijini Mbeya katika barabara kuu iendayo Tunduma



Basi lingine dogo aina ya Toyota Hiece linalofanya safari zake kati ya Sokomatola na Iyunga nalo liligongwa na lori hilo aina ya Leyland Daff.

Mabaki ya Toyota Hiece






Lori lililogonga Hiace zote mbili



Moja wa mashuhuda wa ajali hiyo akiwasimulia waandishi wa habari jinsi ajali ilivyotokea. Picha kwa hisani ya Blog ya Mbeya Yetu          

No comments:

Post a Comment