Mwili wa Marehemu ukiswaliwa kabla ya kwenda kuzikwa. |
Muigizaji
Maarufu hapa nchini,Mzee Athuman Amri a.k.a King Majuto akiweka mchanga kaburini
Wamepanda mnazi kuona mazishi ya Msanii Sharo Milionea katika
kijiji cha Lusanga,Muheza Mkoani Tanga.
Waombolezaji wakimsaidia mwenzao aliyepoteza fahamu msibani.
Picha kwa hisani ya blog ya Free Bongo,Tanga Yetu, Bashir Nkoromo
No comments:
Post a Comment