Wednesday, September 12, 2012
Waziri Nchimbi alivyofika, kufukuzwa Jangwani
Waziri wa Mambo ya Ndani, Dk. Emmanuel Nchimbi akiingia kwenye mkutano wa wanahabari viwanja vya Jangwani, Dar es Salaam.
Waziri wa Mambo ya Ndani Dk.Emmanuel Nchimbi akajaribu kuwatuliza waandishi wa habari katika viwanja vya Jangwani, Dar es Salaam.
Waziri wa Mambo ya Ndani Dk.Emmanuel Nchimbi akiondoka akisindikizwa na viongozi wa Jukwaa la Wahariri
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment