Waziri
Mkuu Mizengo Pinda akiwa katika uwanja wa ndege wa Mjini Mpanda kabla
ya kuupokea mwili wa marehemu Askofu Paschal Kikoti wa Kanisa Katoliki Jimbo la Mpanda, aliyefariki dunia Jumanne ya Wiki hii kutokana na shinikizo la damu
katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando Mkoani Mwanza
Ndege
iliyouleta mwili wa marehemu Paschal Kikoti baada ya kutua katika
uwanja wa ndege wa Mjini Mpanda.
Mapadri
wa Kanisa Katoliki wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Askofu wa Kanisa
Katoliki Jimbo la Mpanda Paschal Kikoti mara baada ya kuteremshwa kwenye
ndege.
Waumini wa kanisa Katoliki Jimbo la Mpanda wakiwa wamelazwa kwenye ukumbi wa kanisa Katoliki Jimbo la mpanda baada ya kupoteza fahamu baada ya mwili wa Askofu wa Jimbo la Mpanda
Paschal Kikoti ulipofikishwa kwenye Kanisa Kuu la Kiaskofu Jimbo la
Mpanda.
No comments:
Post a Comment