Thursday, August 30, 2012

Pinda asaini kitabu cha maombolezo ya kifo cha Askofu

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda (mwenye suti ya kijivu) akitoka kwenye jengo la kiaskofu la Jimbo la Mpanda baada ya kusaini kitabu cha maombolezo ya kifo cha Askofu wa Jimbo hilo, Paschal Kikoti kilichotokea juzi katika Hospitaii ya Rufaa ya Bugando Mwanza.
Askofu wa Jimbo la Sumbawanga Damiano Kiarusi akiwa na Makamu wa Askofu wa Jimbo la Mpanda Padri Patrick Kasomo baada ya kuagana na Waziri Mkuu Mizengo Pinda alipokwenda kusaini kitabu cha maombolezo cha kifo cha Askofu Paschal Kikoti.


Kaburi anapotarajiwa kuzikwa Askofu wa Jimbo la Mpanda Paschal Kikoti 
Kwa hisani ya blog ya Katavi

No comments:

Post a Comment