Aliyewahi kuwa Mkuu wa wilaya ya Kinondoni, Bagamoyo na Mbarali
kwa vipindi tofauti, Hawa Ngulume amefariki dunia jijini Dar es
Salaam leo asubuhi.
Kwa kujibu wa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Jordan Rugimbana taratibu za mazishi zinaandaliwa na taarifa kamili itatolewa baadaye.
Mama Ngulume amekuwa akisumbuliwa na maradhi ya saratani kwa kipindi kirefu.
Kwa kujibu wa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Jordan Rugimbana taratibu za mazishi zinaandaliwa na taarifa kamili itatolewa baadaye.
Mama Ngulume amekuwa akisumbuliwa na maradhi ya saratani kwa kipindi kirefu.
No comments:
Post a Comment