Wabunge wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Peter Msigwa na Joshua Nassari wakiwa uwanjani kushuhudia mpambano kati ya Brazil na Marekani jana usiku Jumatano Mei
30,2011.
Brazil walishinda mabao 4-1
Wabunge
wa chama cha Chadema, Peter Msigwa na Joshua Nassari wakipiga picha na warembo uwanjani jana usiku nchini Marekani.
Wabunge
hao wakishangilia na Bendera ya Taifa wakati wakishangilia Bao la
kwanza la Brazil lililofungwa kwa Penalti na mchezaji Neymar.
Marekani wakijishauri kuanza mtanange huo baada ya kuchapwa bao la nne bao la
kwanza lilifungwa na Neymar, na lapili na Thiago mnamo wa dakika ya 11,
kipindi cha kwanza.
Bao la US lilifungwa na Hercules Gomes dakika ya 44
kipindi cha kwanza hivyo hadi mapumziko Brazil 2 - US 1.
Mshambuliaji
wa Marekani, Landon Donovan, akipiga krosi huku akidhibitiwa na
mlinzi wa Brazil, Marcelo.
Raha katika Uwanja wa FedexFeild, uliopo Landover Maryland Nchini Marekani.
Picha, maelezo kwa hisani ya blog ya swahilivilla.
It's amazing to pay a visit this web site and reading the views of all friends regarding this paragraph, while I am also zealous of getting familiarity.
ReplyDeleteAlso see my site: click here link
Awesome blog! Is your theme custom made or did you download
ReplyDeleteit from somewhere? A design like yours with a few simple tweeks would really make my blog stand out.
Please let me know where you got your design. Thanks
a lot
My weblog - live sex cams