Wednesday, May 30, 2012

Taifa Stars yaagwa, kwenda Ivory Coast kesho

 Naibu Waziri wa Habari Vijana, Utamaduni na Michezo, Amosi Makalla akimkabidhi bendera ya taifa Nahodha wa timu ya Taifa, Taifa Stars, Juma Kaseja wakati wa kuiaga timu hiyo jijini Dar es Salaam leo.
 Baadhi ya wachezaji wa Taifa Stars.
 Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Kim Poulsen.
Nahodha wa Taifa Stars, Juma Kaseja akizungumza katika hafla hiyo.

Taarifa zaidi pitia www.francisdande.blogspot.com

No comments:

Post a Comment