Naibu
Waziri wa Habari Vijana, Utamaduni na Michezo, Amosi Makalla
akimkabidhi bendera ya taifa Nahodha wa timu ya Taifa, Taifa Stars, Juma
Kaseja wakati wa kuiaga timu hiyo jijini Dar es Salaam leo.
Baadhi ya wachezaji wa Taifa Stars.
Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Kim Poulsen.
Nahodha wa Taifa Stars, Juma Kaseja akizungumza katika hafla hiyo.
Taarifa zaidi pitia www.francisdande.blogspot.com
No comments:
Post a Comment