Wednesday, May 30, 2012

Mkutano wa kudhibiti bahati nasibu Afrika


 Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Joyce Mapunjo  akifungua mkutano huo.
 Washiriki kutoka Afrika Kusini wakifuatilia kwa makini mkutano huo.
 Washiriki wa mkutano huo wakiwa katika picha ya pamoja.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Joyce Mapunjo (katikati) akibadilishana mawazo na Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Kusimamia Michezo ya Kubahatisha nchini, Abbas Tarimba (kulia) na Mwenyekiti wa bodi ya michezo ya kubahatisha, William Mdundo  wakati wa mkutano wa mwaka wa Gaming Regulators Afrika Forum unaoendelea jijini Dar es Salaam. 
 
Picha kwa hisani ya www.francisdande.blogspot.com

No comments:

Post a Comment