Wakili Said Hamad El-Maamry (kushoto) akizungumza na Idd Simba Mahakamani .
Aliyekuwa
Waziri wa Viwanda na Biashara wa zamani, Idd Simba aamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu
jijini Dar es Salaam kujibu mashata 8 likiwemo la kula njama, kughushi,
kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu pamoja na kulisababishia hasara
Shirika Usafiri Dar es Salaam (UDA) ya Sh. bilioni 2.3.
No comments:
Post a Comment