Kocha wa timu inayoshiriki ligi kuu ya soka nchini Scotland, Celtic, Neil Lennon (katikati)jana usiku alinusurika kupigwa makonde uwanjani wakati timu yake ikipambana na timu ya Hearts kwenye mpambano wa ligi inayoendelea nchini humo.
Shabiki alyetaka kumpiga kocha akiwa chini baada ya wanausalama kumzidi nguvu
No comments:
Post a Comment