


Ni kawaida kuwaona mastaa wa Ulaya na Marekani wakiwa na wake zao, wachumba wao, na hata watoto wao lakini hapa Tanzania mmmhh!
Huenda si utamaduni wetu lakini siamini kwamba ni suala la mila na desturi kutofanya kama huko kwa wenzetu.
Kuna ubaya gani kwa mastaa wetu wa Bongo kuonekana na wenzi wao an watoto wao kama akina David Beckham, Brad Pit, Beyonce, Maria Carey, Anold Schwarznegger, Christiano Ronaldo n.k?
Lini Tutamuona Athumani Idd 'Chuji' , Masoud Kipanya, Asha Baraka, Phina Mango, Gaudence Mwaikimba, Haruna Moshi 'Boban', Juma Kaseja, Mrisho Ngassa, Ray, Kanumba, Mwana FA, A.Y, Mrisho Mpoto, Miriam Odemba, Ally Rwemtullah, Rose Mhando, Mwamvita Makamba, Aunt Ezekiel, n.k wakiwa na wenzi wao na watoto wao wakiwa huru bila hofu yeyote? Sehemu yoyote kama mastaa wa majuu?
Hivi kuna sababu za msingi kwa celebrities wa Tanzania kuwa wasiri kwa mambo kama haya?
No comments:
Post a Comment