Monday, May 2, 2011

Honeymoon ya Prince William 'yaahirishwa'

Prince William, mkewe Kate wakiwa na watoto
Bestman wa Prince William, Prince Harry (mdogo wa bwana harusi), akiwa na dada wa bibi harusi, Pippa.

Maharusi siku iliyofuata


Kate akienda kwenye sherehe ya kuwapongeza


Prince William akienda kwenye sherehe ya kuwapongeza


Maharusi na familia zao




Prince William amelazimika kubadili ratiba ya fungate lake na Kate kwa sababu anatakiwa kazini leo kwa kuwa hakuomba likizo.


Mjukuu huyo wa Malkia Elizabeth wa Uingereza alipaswa kuomba likizo kabla ya kufunga ndoa lakini hakufanya hivyo itabidi arudi ofisini.


Maandalizi kwa ajili ya fungate yamekamilika, eneo watakalokwenda bado ni siri ila kuna madai kuwa watakwenda kwenye visiwa vya shelisheli.

No comments:

Post a Comment