Mwanasoka maarufu duniani, David Beckham akiwa na mkewe, Victoria, na watoto wao, Cruiz (wa kwanza kushoto), Romeo (wa pili kushoto mwenye jinsiya bluu) na Brooklyn, wakijiandaa kupanda ndege kutoka Marekani kwenda Uingereza.
Beckham na mkewe wamealikwa katika harusi ya mjukuu wa Malkia wa Uingereza, Prince William itakayofanyika kesho Ijumaa.
No comments:
Post a Comment