Thursday, March 24, 2011

Chriss Brown na wanawake nusu uchi



Mwanamuziki maarufu wa R&B, Chriss Brown (21) ni sikio la kufa, haishi vituko na vijimambo.
Jana asubuhi alikuwa anahojiwa katika kipindi cha Good Morning America, akagombana na mtangazaji Live studio, kipindi kikasambaratika.
Baadaye akaonekana uwanjani anacheza mpira wa kikapu.
Jioni jana alithibitisha kwamba hajali watu wanasema nini au wanamchukuliaje.
Alijirusha kwenye stage jijini New York, Marekani kuzindua albamu yake iitwayo F.A.M.E akiwa na wanawake waliokuwa wamevaa chupi na sidiria tu!
Soma hapo chini
Chris Brown declared yesterday that he 'couldn't care less' what people think of him.

And given his carefree behaviour in the hours directly following his Good Morning America meltdown, he really means it.

The singer ended a controversial day surrounded by semi-naked women at a party to mark the release of his new album, F.A.M.E. at New York's Webster Hall.
Debauched: Chris Brown parties at Webster Hall last where he partied with a gaggle of semi-naked women

The 21-year-old star, who appears to be resolutely unapologetic about the incident, performed on stage with dancers who were wearing no more than their underwear.

Chris spent most of the evening partially clothed himself and was spotted dancing shirtless on stage.
His mother Joyce is said to be 'very disturbed and upset' over her son's recent behaviour, according to Radar Online.

1 comment:

  1. Every weekend i used to visit this website, as i want
    enjoyment, for the reason that this this web site conations actually good funny stuff too.


    my blog post - Instagram Followers

    ReplyDelete