Raha ya bao la Ramires
'Mkoba' wa kutumainiwa wa Chelsea, John Terry, a.k.a Mwenye Timu, baada ya kumaliza shughuli ya kuwaua Bolton jana usiku kwa kuwatandika mabao 4-0.
Chelsea wanasema hawajawahi kukata tamaa ya kutetea taji lao la ubingwa wa England hivyo Man United wakae mkao wa kuliwa.
No comments:
Post a Comment