
Waziri Mkuu wa Italia, Silvio Berlusconi, akivuja damu baada ya kushambuliwa.

Mtu aliyekuwa na chuma akimshambulia Berlusconi

Wasaidizi wa Berlusconi wakimsaidia baada ya kushambuliwa

Wanausalama wakimdhibiti mwanaume aliyemshabulia Berlusconi (Mwenye track yenye mstari mweupe)
Kuna taarifa kwamba Berlusconi amepasuaka pua na pia amepoteza meno mawili
No comments:
Post a Comment