Wednesday, December 16, 2009

Berlusconi alivyoshambuliwa

Waziri Mkuu wa Italia, Silvio Berlusconi, akivuja damu baada ya kushambuliwa.
Mtu aliyekuwa na chuma akimshambulia Berlusconi
Wasaidizi wa Berlusconi wakimsaidia baada ya kushambuliwa
Wanausalama wakimdhibiti mwanaume aliyemshabulia Berlusconi (Mwenye track yenye mstari mweupe)

Kuna taarifa kwamba Berlusconi amepasuaka pua na pia amepoteza meno mawili

No comments:

Post a Comment