KIWANDA cha bia cha Tanzania Breweries Limited(TBL) cha Ilala, Dar es Salaam kimenusurika kuteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo.
Kuna taarifa kwamba moto umeunguza eneo la kuhifadhi ma-kreti ya bia.
Chanzo bado hakijafahamika ila inadaiwa kuwa transfoma ililipuka.
No comments:
Post a Comment