MUDA mfupi uliopita nimepata taarifa zinazodai kuwa majambazi yamepora fedha katika benki ya NMB tawi la Temeke mkoani Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa taarifa hizo, majambazi hayo yameua polisi waliokuwa wakilinda katika benki hiyo.
Taarifa zaidi baadaye
No comments:
Post a Comment