
PICHANI hapo juu ni mwanamuziki maarufu Lady Madonna akilishambulia jukwaa Julai 13 mwaka huu jijini Madrid, Hispania.
Msanii aliyeasili watoto wawili waafrika, Banda na Mercy alikwenda na mpenzi wake mpya Jesus Hispania kwa ajili ya onyesho hilo kwenye uwanja wa Vicente Calderon.
No comments:
Post a Comment