Monday, June 8, 2009

Maiti, mabaki ya ndege vyaokotwa baharini

Mabaki ya ndege ya Air France iliyoanguka baharini usiku wa kumkia Jumatatu iliyopita

Askari wa kikosi cha wanamaji cha Brazil wakiokota mizigo ya abiria waliokufa katiak ajali ya ndege Air France iliyoanguka ikiwa na watu 228

Kiti cha ndege(kushoto chini) na mizigo ya abiria waliokufa kwenye ajali ya ndege iliyokuwa ikitoka Brazil kwenda Ufaransa usiku Jumapili iliyopita.

Airbus 330-200 ya Shirika la Ndege la Ufaransa
NI ajali kubwa zaidi ya ndege ya abiria tangu mwaka 2001, imeua watu 228.
Hadi leo asubuhi miili 15 imeoktwa ikielea katika bahari ya Atlantic.
Ndege hiyo Airbus 330-200 ilianguka baada ya kutokea hitilafu katika mfumo wa umeme.

Kabla ya kuanguka ilituma message 24 kueleza kuhusu tatizo hilo kwenye mfumo wa uendeshaji wa ndege hiyo inayosemekana kuwa ni salama zaidi kati ya ndege zinazotumika sasa.
Soma zaidi hapo chini

Fourteen of those messages were sent within the space of one minute, from 3.10am BST to 3.11am BST, a briefing in Paris was told today.

The messages showed 'inconsistencies' between measured velocities and indications of systems failures including the autothrust and autopilot, the investigators said.

All 228 people on board, including 12 crew, a baby and seven children, are thought to have perished in the world's worst aviation.

No comments:

Post a Comment