
Mgonjwa: Daktari naumwa sana moyo.
Daktari: Wewe ni mpenzi wa timu gani ya mpira wa miguu?
Mgonjwa: Kwa Tanzania mimi ni shabiki wa Simba na Ulaya mimi ni mpenzi wa Manchester United.
Daktari: Na unafanya kazi wapi?
Mgonjwa: Nilikuwa nafanya kampuni ya GTV, baada ya kufa nikapata kazi Paradise Hotel Bagamoyo.
Daktari: Una akiba yoyote ya fedha benki?
Mgonjwa: Ndiyo, akiba yangu yote ya fedha ipo DECI.
Daktari: Mmmh, unaishi wapi?
Mgonjwa: Naishi Kwembe wilayani Kinondoni.
Daktari: Duh, subiri kufa maana hakuna tiba mbadala ya maradhi yako.
Daktari: Wewe ni mpenzi wa timu gani ya mpira wa miguu?
Mgonjwa: Kwa Tanzania mimi ni shabiki wa Simba na Ulaya mimi ni mpenzi wa Manchester United.
Daktari: Na unafanya kazi wapi?
Mgonjwa: Nilikuwa nafanya kampuni ya GTV, baada ya kufa nikapata kazi Paradise Hotel Bagamoyo.
Daktari: Una akiba yoyote ya fedha benki?
Mgonjwa: Ndiyo, akiba yangu yote ya fedha ipo DECI.
Daktari: Mmmh, unaishi wapi?
Mgonjwa: Naishi Kwembe wilayani Kinondoni.
Daktari: Duh, subiri kufa maana hakuna tiba mbadala ya maradhi yako.
No comments:
Post a Comment